Ifike mahali kama taifa tuone hii hatari iliyopo mbele yetu, wasanii wa muziki siku hizi wanaimba matusi waziwazi tena bila uoga.
Hakuna aliye msafi kabisa wote wanaimba matusi tu yaani hata kusikiliza mbele ya watoto inakua ni aibu.
Je, ina maana BASATA hawaoni mambo haya? Wengine wameona...
Kila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Wazazi wamezeeka nyumba ni kubwa na wako peke yao na wajukuu wadogo tu. Na kwa kuwa eneo la nyumba ni kubwa kuna vyumba vya nje (double self) nilivijenga kwa ajili ya kufikia kila nnapoenda nyumbani na familia yangu.
Wazazi wameniomba nihamie nikae hapo. Je, kimaadili ni sawa? Nahofia pia mama...
Kuna tabia inanikera sana mtoto akikosea yeye anamuadhibu ila mimi nikimuadhibu inakua tatizo kubwa sana hata kununa siku nzima, wajuzi wa mambo hii hali ni kawaida au?
mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo Tundu Lissu amekua akizunguka mikoa kadhaa akifanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafta wadhamini, JE tume ya Uchaguzi hawaoni anavyokiuka utaratibu?
Yaaani katika chaguzi zoooote zilizowahi kufanyika tangia mfumo wa vyama vingi uanze huu ndo utakua mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi.
Kwa kazi alizofanya Mheshimiwa Rais zinatosha kabisa kumpa kura hata asipofanya kampeni maana kazi alizofanya zinaonekana hana haja ya kutukumbusha kupitia...
Kwa sas kuna jamaa tunafanya nae kazi amenisingizia na kunichafua sana kazini kulitokea hitilifu nikapoteza kazi ya mteja bahati mbaya.
Mteja alivyokuja ofisini akajaza maneno ya uongo nilichofanya nikarudisha hela kwa yule mteja lakini bado jamaa anaendelea kunichafua nimemuonya mara kadhaa...
ana miezi miwili tangia ajifungue (kwa operation) lkn tangia jana ameanza kulalamika anasikia baridi kali na kutetemeka hata kama amevaa masweta mazito...pia mshono wake kuuma ..je itakua ni ugonjwa gani?
Last year December nilihook up na msichana mmoja hivi na tukaachana baada ya wiki mbili, mwezi huo nikapata mwingine sasa huyu niliompata ni wife material yani yupo full package.
Tatizo ni yule wa zamani kanitafuta kasema ana mimba yangu, nimechanganyikiwa sijui nibaki na yupi nimuache yupi...
Kuna mambo kadhaa yamenitokea kwenye maisha ikiwemo kuumizwa na ndugu zangu yamenifanya Nimekua ni mtu mwenye hasira sana hadi kupitiliza...mtu anaeza kunikosea hata jambo dogo sana lakini hyo outrage nitakavoreact had anajuta...wadada ambao nmekua nikidate nao mara nyingi wamekua watu wa kulia...
hivi ni kwanini wanawake wengi hawa wanaohimiza usawa au haki sawa kwa wanawake huwa ni mafailures kwenye ndoa zao na mahusiano yao na pia wengi wao hawajaolewa..kwa nn hzo harakar wasiziapply kwenye ndoa zao???
wanawake na watu wote mnaosupport feminism mnakera sana na haya mambo ya haki sawa...kweli mwanamke anataka mme aoeshe vyombo,apike,adeki tena kwa kupangiana ratiba jaman daaah mwisho wa siku mtasema mwanaume na yy abebe mimba MNAKERA SANA .
.Ukileta kimbelembele cha haki sawa kwenye uhusiano...
Unakuta mwanamke ana mume wake kabisa au mpenzi wa kiume lakini anatafuta mtu mwingine wa kudanga, yupo radhi kusafiri hata mikoani ili alifate danga lake afanye mapenzi ndo apewe pesa. Naandika kwa uchungu sababu nimetuma nauli siku ya tatu leo hapatikani kwenye simu.
Nashindwa kutofautisha...
Habari zenu wakuu nipo Arusha kikazi ila soon nitahamia Mwanza, naomba kuuliza je kwa Mwanza maeneo ya Buswelu au Nyakato chumba double self nitapata kwa shilingi ngap kwa mwezi..asanteni
Ng'ombe huweza kutoa maziwa na kufaidisha wanakijiji wengi tu lakini hapigi kelele, sasa inashangaza kuku akitaga yai moja tu ambalo haliwezi hata kumshibisha mtoto, atapiga kelele kijiji kizima kijue sasa anataga.
Ndugu zangu ipo hivi, watu wanaotenda kazi kiukweli uwa ni watulivu sana na...
Kama heading inavyojieleza,
Nimekuwa na tatizo kila nikikopesha marafiki zangu pesa wananidhulumu hawanilipi. Wakati wananiomba wanaomba kwa huruma kuwanyima nashindwa lakini mwisho wa siku wananikimbia na kuvunja urafiki kabisa kiasi kwamba hata nikipiga simu wanauliza mimi ni nani.
Nikipiga...
Download app ya Mobdro kuweza kuangalia Channel mbalimbali kwenye simu yako, ziwe za michezo kama ESPN,sky sports, euro sports...za miziki kama kiss Tv UK, 4 music..za habari, documentaries na nyinginezo....kudownload hii app tembelea www.mobdro.com pia unaweza kuitumia kwenye PC yako kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.