Isack Elia
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 474
Kila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Hali hii inasababishwa na nini?