Isack Elia
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 474
Wazazi wamezeeka nyumba ni kubwa na wako peke yao na wajukuu wadogo tu. Na kwa kuwa eneo la nyumba ni kubwa kuna vyumba vya nje (double self) nilivijenga kwa ajili ya kufikia kila nnapoenda nyumbani na familia yangu.
Wazazi wameniomba nihamie nikae hapo. Je, kimaadili ni sawa? Nahofia pia mama na mke. Je, hawatakuja kugombana wakikaa karibu?
Naombeni ushauri 😀
Wazazi wameniomba nihamie nikae hapo. Je, kimaadili ni sawa? Nahofia pia mama na mke. Je, hawatakuja kugombana wakikaa karibu?
Naombeni ushauri 😀