Isack Elia
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 474
wanawake na watu wote mnaosupport feminism mnakera sana na haya mambo ya haki sawa...kweli mwanamke anataka mme aoeshe vyombo,apike,adeki tena kwa kupangiana ratiba jaman daaah mwisho wa siku mtasema mwanaume na yy abebe mimba MNAKERA SANA .
.Ukileta kimbelembele cha haki sawa kwenye uhusiano unapigwa chini ukaolewe kwa wale wanaokutia kichwa mpaka kinakua kikubwa na pua zinatanuka..
.Ukileta kimbelembele cha haki sawa kwenye uhusiano unapigwa chini ukaolewe kwa wale wanaokutia kichwa mpaka kinakua kikubwa na pua zinatanuka..