Isack Elia
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 474
ana miezi miwili tangia ajifungue (kwa operation) lkn tangia jana ameanza kulalamika anasikia baridi kali na kutetemeka hata kama amevaa masweta mazito...pia mshono wake kuuma ..je itakua ni ugonjwa gani?