Isack Elia
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 474
Ng'ombe huweza kutoa maziwa na kufaidisha wanakijiji wengi tu lakini hapigi kelele, sasa inashangaza kuku akitaga yai moja tu ambalo haliwezi hata kumshibisha mtoto, atapiga kelele kijiji kizima kijue sasa anataga.
Ndugu zangu ipo hivi, watu wanaotenda kazi kiukweli uwa ni watulivu sana na kazi hujionesha zenyewe. Lakini wapo wanafanya vidogo tu na kutaka jamii yote ijue sasa kuna kilichofanyika.
Ukiamua kufanya kitu kwa ajili ya watu, fanya kwa ukimya tena kwa moyo wako wote. Kitafanikiwa na utabarikiwa!
Ndugu zangu ipo hivi, watu wanaotenda kazi kiukweli uwa ni watulivu sana na kazi hujionesha zenyewe. Lakini wapo wanafanya vidogo tu na kutaka jamii yote ijue sasa kuna kilichofanyika.
Ukiamua kufanya kitu kwa ajili ya watu, fanya kwa ukimya tena kwa moyo wako wote. Kitafanikiwa na utabarikiwa!