Uvumilivu unaelekea ukingoni

Isack Elia

JF-Expert Member
Jul 9, 2016
332
474
Kwa sas kuna jamaa tunafanya nae kazi amenisingizia na kunichafua sana kazini kulitokea hitilifu nikapoteza kazi ya mteja bahati mbaya.

Mteja alivyokuja ofisini akajaza maneno ya uongo nilichofanya nikarudisha hela kwa yule mteja lakini bado jamaa anaendelea kunichafua nimemuonya mara kadhaa lakini anakataa kua hafanyi hivyo.

lakini ushahidi ninao wa sauti na wa picha (screenshots) maana anaowaambia maneno mabaya huwa wananiambia...

Nimejaribu kumuepuka lakini bado ananifatilia tu na kuendelea kunichafua.

Je, nimfanye nini huyu mtu?
 
Mkuu chezea vyooote cio kaz. Kaz ndo heshima yako, ndo inayokuweka mjini.

Acha kuendekeza tamaa na utosheke na mshahara wako hata km ni wa senti mbili.

Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.” - Luka 3:14
 
Ka
Mkuu chezea vyooote cio kaz. Kaz ndo heshima yako, ndo inayokuweka mjini.

Acha kuendekeza tamaa na utosheke na mshahara wako hata km ni wa senti mbili.

Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.” - Luka 3:14


Kazi ilifutika kwenye computer na ni baada ya mteja kuitelekeza kwa mwaka mzima , na hata baada ya kutokea hilo nikajaribu kurecover imeshndikana sikua na jinsi zaid ya kurudisha hela .. naona jamaa akatumia kama njia ya kunichafua
 
Ka


Kazi ilifutika kwenye computer na ni baada ya mteja kuitelekeza kwa mwaka mzima , na hata baada ya kutokea hilo nikajaribu kurecover imeshndikana sikua na jinsi zaid ya kurudisha hela .. naona jamaa akatumia kama njia ya kunichafua
Wewe ni mzembe bila shaka. Hii ni tabia ya watanzania wengi sana kazini. Ukifanya kazi Tanzania ndiyo utajua watanzania tulivyo. Hukuwa makini kwenye kuhifadhi kazi na hili linaweza kuashiria kuwa huko makini kwenye kazi zako. Inaonekana huyo jamaa anajaribu ku-expose uzembe wako lakini wewe badala ya kubadilika unamwona yeye ni mbaya. Unachotafuta utakipata kama hutakiri udhaifu wako na kubadilika.
 
Wewe ni mzembe bila shaka. Hii ni tabia ya watanzania wengi sana kazini. Ukifanya kazi Tanzania ndiyo utajua watanzania tulivyo. Hukuwa makini kwenye kuhifadhi kazi na hili linaweza kuashiria kuwa huko makini kwenye kazi zako. Inaonekana huyo jamaa anajaribu ku-expose uzembe wako lakini wewe badala ya kubadilika unamwona yeye ni mbaya. Unachotafuta utakipata kama hutakiri udhaifu wako na kubadilika.

Kwa nature ya kazi ytu changamoto iliyonitokea ni jambo la kawaida yeye binafsi amewah kukumbwa na majanga zaid ya hili lkn sijawah kunyanyua mdomo na mm nilipoona nmekosea nkarudsha pesa YOTE jambo ambalo yy hajawah kufanya
 
Mwite, mwambie nakuonya kwa mara mwisho

Akishupaza shingo

Adhabu zipo nyingi duniani mkuu, usitake nizitaje nionekane mimi ni katili
Kwa sas kuna jamaa tunafanya nae kazi amenisingizia na kunichafua sana kazini kulitokea hitilifu nikapoteza kazi ya mteja bahati mbaya.

Mteja alivyokuja ofisini akajaza maneno ya uongo nilichofanya nikarudisha hela kwa yule mteja lakini bado jamaa anaendelea kunichafua nimemuonya mara kadhaa lakini anakataa kua hafanyi hivyo.

lakini ushahidi ninao wa sauti na wa picha (screenshots) maana anaowaambia maneno mabaya huwa wananiambia...

Nimejaribu kumuepuka lakini bado ananifatilia tu na kuendelea kunichafua JE NIMFANYE NINI HUYU MTU?
 
Kwa nature ya kazi ytu changamoto iliyonitokea ni jambo la kawaida yeye binafsi amewah kukumbwa na majanga zaid ya hili lkn sijawah kunyanyua mdomo na mm nilipoona nmekosea nkarudsha pesa YOTE jambo ambalo yy hajawah kufanya
Ndiyo maana nakumbia ukiwa unaishi Bongo na hukuwahi kutoka nje kuna makosa mengine unaweza kuyaona ni kawaida kabisa kwa kazi unayofanya mpaka hapo utakapoenda nchi nyingine zenye watu makini ndiyo utajua kuwa yale uliyokuwa unaita makosa ya kawaida ni uzembe uliopitiliza. Bongo watu hawako makini kabisa kwenye kila kitu na hili limeshazoeleka.
 
Mwite, mwambie nakuonya kwa mara mwisho

Akishupaza shingo

Adhabu zipo nyingi duniani mkuu, usitake nizitaje nionekane mimi ni katili

Njoo PM niambie hzo adhabu maana nmemchoka , jina linajengwa kwa muda mrefu ila yeye ananchafua ili iweje???
 
Ndiyo maana nakumbia ukiwa unaishi Bongo na hukuwahi kutoka nje kuna makosa mengine unaweza kuyaona ni kawaida kabisa kwa kazi unayofanya mpaka hapo utakapoenda nchi nyingine zenye watu makini ndiyo utajua kuwa yale uliyokuwa unaita makosa ya kawaida ni uzembe uliopitiliza. Bongo watu hawako makini kabisa kwenye kila kitu na hili limeshazoeleka.


Kazi gani ambayo haina changamoto???
 
Unapaswa umshukuru jamaa anawaambia watu madhaifu yako ili wakusaidie ubadilike.mtu wa hivyo ni mzuri kuliko akikwambia wewe peke yako tu.so anawaambia na wengine ili nao wasije wakaacha kazi kwako ukapoteza.hivyo anakusaidia.

Adhabu.
Adhabu inategemeana na unavyomuona mwingine unaweza mpa adhabu ya kunywa beer na asije akakusahau tena duniani.mwingine unampa adhabu ya kumgegeda, adhabu ya kumchapa bakora...hatuwezi kukupangia adhabu.labda uwe hujadhamilia kumwadhibu.
 
Adui anayeandama mafanikio yako ni mbaya kuliko anaeandama uhai wako!
Mafanikio yakiondoka na kifo kinakuja taratibu tu
Naweza kumsamehe mtu aliyekosakosa kuniua endapo akiomba msamaha lakini siwezi kumsamehe mtu anayeonekana kunivutia kwenye umasikini. Wewe angalia adhabu mbaya utakayompa ambayo haitoathiri maisha yako
 
Unapaswa umshukuru jamaa anawaambia watu madhaifu yako ili wakusaidie ubadilike.mtu wa hivyo ni mzuri kuliko akikwambia wewe peke yako tu.so anawaambia na wengine ili nao wasije wakaacha kazi kwako ukapoteza.hivyo anakusaidia.

Adhabu.
Adhabu inategemeana na unavyomuona mwingine unaweza mpa adhabu ya kunywa beer na asije akakusahau tena duniani.mwingine unampa adhabu ya kumgegeda, adhabu ya kumchapa bakora...hatuwezi kukupangia adhabu.labda uwe hujadhamilia kumwadhibu.


Nimefanya kazi kwa muda mrefu ila hii ndo ya kwanza kuniletea mattz ya kupotea na ni kwa sababu kwa navofanya kazi mteja or wateja huwa hawaachi kazi zaid ya mwez sasa huyu akaiacha mwaka mzima na nilivokua nampgia simu ananijibu mkato
 
Adui anayeandama mafanikio yako ni mbaya kuliko anaeandama uhai wako!
Mafanikio yakiondoka na kifo kinakuja taratibu tu
Naweza kumsamehe mtu aliyekosakosa kuniua endapo akiomba msamaha lakini siwezi kumsamehe mtu anayeonekana kunivutia kwenye umasikini. Wewe angalia adhabu mbaya utakayompa ambayo haitoathiri maisha yako


Umenena vyema .. jana nimeshndwa kulala kbsa namtafakari
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom