Muda huu anga imetanda wingu kubwa la moshi mzito mweusi ukitokea maeneo ya Vingunguti au jirani na huko. Walioko jirani na eneo la tukio watujulishe nini kinaendelea huko, je ni salama kwa afya za watu wengine?
Je NEMC wana taarifa na tukio hilo ni ajali au limepangwa ndani ya utaratibu wao.
Naomba msaada kwenye kujaza hii ajira portal. Kila kitu nimeshaweka, pamoja na vyeti vya masomo ambavyo vimethibitishwa na mwanasheria.
Lakini mwishoni pale chini kwenye Academic qualifications, ninakutana na ujumbe unasema "You have not attached any Verification Certificate", nikigusa + hiyo...
Rais wa Afrika ya Kusini ameshalitangazia Taifa hilo kubwa kuwa sasa Umeme umekuwa janga la Taifa na Mamlaka za kushughulikia majanga zimeanza kufanyia kazi hali hiyo ili kulinusuru Taifa hilo kutokana na madhara ya kukosekana kwa umeme.
Hali ni mbaya mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia...
Wakuu habari za leo,
Naomba radhi kwa watakaoelewa tofauti na nilivyoelewa mimi. Niwashirikishe katika maswali niliyoulizwa na Babu mmoja jana kwenye kituo cha daladala ambacho kina pilikapilika nyingi za biashara kwenye jiji la kiuchumi la DSM.
Nilifika kwenye meza yake ya biashara ya matunda...
Salaam kwa NMB au washirika wao wanaopitia humu kwenye jamvi.
Tofauti na Benki nyingine, kwa maslahi ya kibiashara majina siwezi kuyataja.
Naomba mwenye kujua ni tatizo la kiufundi au salio langu kwenye simu ni tatizo na kama kuna mwingine anapata tatizo hilo tjuane.
Ukiingia kwenye NMB...
Wanabodi,
Anayejua jumamosi Julai 30 kuna mgao wa umeme sehemu yoyote ya Dar au umeme kukatwa kwa muda mrefu anisaidie hiyo taarifa.
Inawezekana imenipita sasa nabaki kushangaa tu huu umene vepeee !!!
Wataalamu na Wajasiriamali naomba ushauri na msaada.
Nafikiria kuanza kilimo cha njugu mawe je kina soko?
Ardhi ya namna gani inafaa na hali ya hewa ya namna gani. Msaada tafadhali.
============
Njugu Ni Mbegu Ndogo Inayopendwa Ulimwenguni Pote
Je, unapenda njugu? Ikiwa ndivyo, si wewe peke...
Jenerali Ulimwengu afunguka usiku huu, baada ya mazishi ya Rais wa Zambia akisema Umri wa Mgombea Urais si hoja Ujana si Hoja. Wala Uzee, Jambo Muhimu huyo anayegombea Urais ana uwezo wa kuchapakazi.
Anaweza kuwa Mzee kama Rais wa Zambia aliyefariki naye alikuwa mchapa kazi. Na anayo matarajio...
Kama kuna mdau humu atusaidie, au awajulishe wahusika
mtambo wa luku haupatikani. Tupo kwenye shughuli umeme
umekata, jenereta hatuna, fedha ya luku ipo, tanesco hawaipokei
kuna nini ? Msaada tafadhali.
Shaaban Robert alipata Kusema "Kizima kupata ufa, kawaida tangu kale.
Kheri mwenzie maafa, kawaida ya milele.
Bali kweli ina sifa, ipatwapo na uwele, huugua bila kufa na kisha husonga mbele'.
Mwisho wa kunukuu.
Wale wanaompenda Rais wetu Mheshimiwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, wapate hapa ya...
HII NDIYO DUNIA TUNAMOISHI ! NI TUKIO LA KUSIKITISHA:
LAHORE, Pakistan (AP) A pregnant woman was stoned to death Tuesday by her own family outside a courthouse in the Pakistani city of Lahore for marrying the man she loved.
The woman was killed while on her way to court to contest...
Walipodai hati ya muungano sikuwaelewa.
Wameiona hati ya muungano sijawaelewa
wanataka kufanya nayo nini ?
nitawaelewa zaidi wakija na hoja za kudai-
1-ule mchanga wa tanganyika na zanzibar uliochanganywa wakati
wa muungano nao uletwe.
2-kalamu pia zilizotumika kusaini hati ya muungano ziko...
Wanajamvi wanaoniunga mkono katika hili karibuni mtoe maoni yenu.
Muungano tunaupenda !
Kushuhudia miaka 50 ya Muungano ni Uhai na jambo la Kushukuru !
Waliouona Muungano ukizaliwa wengi wao hawakubahatika kuona miaka 50 ya Muungano !
Tunaoshuhudia miaka 50 wengi hatutakuwepo Muungano ukitimiza...
Mchungaji mtikila ameonyesha ukomavu wa uzalendo wa hali ya juu sana !!!
Tofauti na matarajio ya wengi. Ameapa kuilinda jamhuri ya muungano !!
Hongera sana baba !!!! Huo ndio uzalendo wa kweli waache fitina zao za kukuchonganisha
na wana wa nchi !!!
wapendwa inabidi niamini tu!!!
Malaika wa baba wa taifa mwalimu nyerere
malaika wa sheikh abeid karume wote wameisimamia nchi yao!!!!
Mungu ibariki tanzania.
Wajumbe wote wanaapa kuilinda jamhuri hii ya muungano wa tanzania.
Wale waliokuwa wanasubiri kugawana mbao, wakagawane mbao za vitanda...
KWA WALE WAPENZI WA HABARI ZA AFRIKA NA ASIA ZA SIASA, UCHUMI, UTAMADUNI
BIASHARA NA MAENDELEO, HIZO NI BAADHI TU, HEBU JARIBU KUTEMBELEA JARIDA LA
afrikakiboko.com UONE LINA HIZA GANI YA MANIFAA. NI KITU KIPYA KABISA
NDIYO KINA KUJA JUU.
wale watetezi wa uhuru wa habari mbona sijawasikia wakikomaa kwamba
waandishi nao waingie kwenye vikao vya kamati ya maridhiano? Je kweli
walikuwa wanatetea uhuru wa habari au walikuwa na lao jambo ???
nimetafakari sana na kujiuliza maswali mengi. Japokuwa si mwanasiasa.
Nimefuatilia mijadala mbalimbali kuhusu muundo wa serikali, mabishano
yote.
Nimegundua kuwa kuna muundo huu wa vyama vya siasa wala hakuna anaeugusa.
Wenyewe hauna "utatu" wala "umbili".
Sasa kwanini tunawaumiza vichwa...
Kuna tabia naona inazidi kujengeka katika baadhi ya vyombo vya habari vya televisheni, wanaita Runinga. Na muda mfupi uliopita Chaneli Ten wametoa "kituko" kama hicho. Utasikia wanaanza kusema "Samahani kwa Picha tutakazoonesha hivi sasa".
Wahariri mnatukera baadhi ya Watazamaji. Kama mnajua...
ILIKUWA RICHAMOND, ILIKUWA MSHIKO WA KATIBU MKUU Wa NISHATI KWA WABUNGE NA SASA OPERESHENI TOKOMEZA.
Dr. MWAKYEMBE ALINGA;AA
ENGINEER RAMO MAKANI ALING'AA
NA SASA MH LEMBELI !
JAPO ZOTE NI KAMATI ZA BUNGE ZILIKUWA, INATAKA MOYO KUTAFUNA JONGOO
JE SASA KATIKA BARAZA JIPYA TUMTARAJIE LEMBELI ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.