Mbunge, Taletale amependekeza kuwa Serikali ije na SGR ambulance kwa kuwa kuna wagonjwa wanakiwa wanahitaji huduma ya magari ya wagonjwa kutoka Morogoro kwenda Muhimbili ila hawana uwezo hivyo kwa kuja na hiyo SGR Ambulance itakuwa imewasaidia wananchi wengi.
Hayo ameyasema bungeni wakati...
Akichangia hoja Bungeni leo, Mei 12 MbungeTaletae amesema kuwa Licha ya wagonjwa kuwa wengi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, ina magari mawili tu ya kubeba wagonjwa.
"Waziri amezungumza hapa sijaona amezungumza bajeti ya Arena...ndugu yangu Makonda leo, kama mama anakuombea Dua nyumbani, mshahara wako naondoka nao...Mwana FA mshahara wako naondoka nao...ndugu zangu mtanisamehe Taifa kwanza udugu baadae..."- Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale...
Habari wote.
Wafanyakazi wa RITA mliomo humu eleweni na muwafahamishe pia na wenzenu kuwa jina la babu sio jina la ukoo. Mfano mimi naitwa John Julius Kipingo, cha kushangaza ukimuombea mtoto(mfano Peter) cheti cha kuzaliwa huko halmashauri kitakuja na majina ya Peter John Julius, ukiwauliza...
Kiumbe cha kwanza - LUCA
Wanasayansi wanakiita LUCA = Last Universal Common Ancestor.
Hicho ndicho kiumbe cha mwisho ambacho wewe, mti, mbwa, na bakteria wote mnatoka kwake.
Kilikuwa vipi? Miaka bilioni 3.8 iliyopita:
1. Muonekano na ukubwa
Kilikuwa kidogo ajabu - kama bakteria. Unahitaji...
Asema Waislamu hawaruhusiwi kutumia chochote cha makafir, na kwa vile hii mitandao na teknolojia zote hizi ni za makafir, hivyo wanaozitumia watakwenda motoni.
https://vm.tiktok.com/ZS9R1jRMqEye9-PlLgb
Jeshi la Israel limesema limelenga vituo vinavyodaiwa kuhusishwa na Hezbollah nchini Lebanon, hatua iliyosababisha mlipuko mkubwa katika eneo hilo.
https://www.instagram.com/reel/DVeHhHqD6Zf/?igsh=anMzbmlsNTlmYm5u
Leo katika pitapita zangu, nikaona nipite nimchukue binti angu.
Basi bana watoto wakaniona nimepaki nikashuka kwenye Vogue, nikazunguka nyuma yao. Wakaanza kumtania mwanagu, Neema(code) huyo ni babu ako?
Binti nikamuina alijisikia vibaya sana.
Ndani ya sekunde wanashangaa mwenzao anaingia...
Wahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa
Babu Trump hana hata mwezi ameonya juu ya matukio ya ukandamizaji, unyanyasaji na mauaji ya wakristo.
Marekani ni watu wana intelenjinsia Kali duniani, Kuna mambo wanawajua hata kabla ya sisi kujua.
Ukiona Marekani amesema jambo ujue intelenjinsia...
Mwaka 2025 Putin alifika USA ila baada ya kupewa heshima za kijeshi na kuongozana naye mara Putin anaona dege la B-2 likipitishwa makusudi na Trump alikuwa anamkumbusha kule Iran.
😁" Who are you " Hata Masafa ya TBC fm uwezi kutumia.
Kwa Karne hii tunategemea tuone wazee wakitoa maonyo maangalizo ya nini tufanya na nn tusifanye ili kulinda uhai wetu ili hatimaye na sisi tuje tuzeeke tukiwa hai kama wao ila hii imekuwa tofauti kwa Hawa wazee wetu wa TEC kwa kweli hawapo katika kujenga, hawana uwezo wa kuonya dhidi ya mambo...
Mwaka 2011 historia ya Tanzania iliandika ukurasa wa kipekee uliojaa matumaini, mijadala na sintofahamu kubwa. Katika kipindi hicho jina la Mchungaji mstaafu Ambilikile Mwasapile, maarufu kama “Babu wa Loliondo,” lilitawala mijadala ya kitaifa na kimataifa. Babu huyo kutoka kijiji kidogo cha...
Dar could buy Dowans under proposed law
Tanzania has come up with a Bill, the proposed Public Procurement Act, 2010, that if passed by parliament, will pave the way for the amendment of government procurement laws to allow the purchase of secondhand plants and machinery to tackle the...
Leo nitaongea kuwa kulikuwa hakuna Kesi dhidi ya Babu Seya.
Mchezo ule ule wa kitoto ndo bado unaendelea mpaka Leo mahakamani, kufanya Kazi kwa maelekezo.
Babu Seya alihukumiwa kimakosa kwa shinikizo la wanasiasa.
Babu Tale akipika ugali na mrenda, muda mfupi baada ya kutoka kwenye ofisi za chama Mvuha, siku moja baada ya kushinda kura za maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini Mashariki kwa kupata kura 5,318 dhidi ya Omar Tebweta Mgumba aliyepata 1,310.
Mh Babu, kama utanibishia tafadhali familia vifo vya siku hiyo vipo 10 watoto walikufa WA uzembe wa watumishi.
Kama unabisha njoo mm Niko hapa uone ni aibu mawenzi watu wanakula mnoooó
Ni kama vile wananchi hawako serious na maisha yao! Mimi nitoe Rai tu kwa waliopo kwenye mifumo pigeni kadri mnavyoweza msionee huruma wajinga wasiojitambua
Ujinga ni laana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.