Ajira Portal: Verification Certificate Shidaa

Matango

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
535
118
Naomba msaada kwenye kujaza hii ajira portal. Kila kitu nimeshaweka, pamoja na vyeti vya masomo ambavyo vimethibitishwa na mwanasheria.

Lakini mwishoni pale chini kwenye Academic qualifications, ninakutana na ujumbe unasema "You have not attached any Verification Certificate", nikigusa + hiyo sehemu inanirudisha juu kwenye ku Add Qualifications.

Niki Add, zile sifa zinaingia kule kule juu ambako tayari zingine zipo na hakuna namna ya kuzipunguza.

Hii "Verification Certification" wanayoitaka, au inayoulizwa na system yao inajazwa vipi? Msaada tafadhali kwa ambaye amekutana na hii changamoto na akafanikisha.
 
Naomba msaada kwenye kujaza hii ajira portal. Kila kitu nimeshaweka, pamoja na vyeti vya masomo ambavyo vimethibitishwa na mwanasheria.

Lakini mwishoni pale chini kwenye Academic qualifications, ninakutana na ujumbe unasema "You have not attached any Verification Certificate", nikigusa + hiyo sehemu inanirudisha juu kwenye ku Add Qualifications.

Niki Add, zile sifa zinaingia kule kule juu ambako tayari zingine zipo na hakuna namna ya kuzipunguza.

Hii "Verification Certification" wanayoitaka, au inayoulizwa na system yao inajazwa vipi? Msaada tafadhali kwa ambaye amekutana na hii changamoto na akafanikisha.
Verification certificate ni kwaajiri ya yule applicant aliesoma nje ya nchi kwahiyo anapaswa kuverify vyeti vyake kwenye mamlaka husika mfano TCU, NECTA, NACTE, NACTVET etc....ni tofauti na kucertify ambapo mwanasheria ndio hucertify km ulivyo attach juu yake. Kwahiyo km umesoma nchini hiyo haikuhusu achana nayo.
 
Verification certificate ni kwaajiri ya yule applicant aliesoma nje ya nchi kwahiyo anapaswa kuverify vyeti vyake kwenye mamlaka husika mfano TCU, NECTA, NACTE, NACTVET etc....ni tofauti na kucertify ambapo mwanasheria ndio hucertify km ulivyo attach juu yake. Kwahiyo km umesoma nchini hiyo haikuhusu achana nayo.
Shukran
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom