Habari wanajamii, kuna rafiki yangu (raia wa Tanzania anataka kufunga ndoa na mpenzi wake ni raia wa Marekani anayeishi nchini kwa kufuata taratibu zote . Hivyo nahitaji kufahamu ni taratibu zipi afuate ili aweze kufunga naye ndoa ya kiserikali.
Habari wanajukwaa.Siku chache zilizopita kuna mtu wangu wa karibu aliibiwa simu na cha ajabu zaidi huyo aliyeiba simu anaitumia kutapeli watu je inawezekana kumpata huyo mtu tukilifuatilia suala hilo?
Nina simu yangu tecno W3 tatizo lake limeanza siku tatu zilizopita. Tatizo la kwanza ni mtu akinipigia simu inakata na inaonesha line busy,je shida inaweza kuwa ni nini?
Hivi ni hatua zipi za kufuata pale ambapo mtu ameshindwa kesi katika baraza la kata na anapuuzia hukumu ya baraza hilo licha ya kushindwa kesi.Naombeni maelekezo katiko hilo
Habari wanajukwaa mimi ni mhitimu wa shahada ya sanaa na elimu (BAED) katika masomo ya kiswahili na kiingereza pia nimesoma kozi fupi ya "computer application" ambapo nimejifunza kutumia microsoft office word,excel na power point nahitaji kazi ya kufundisha au yoyote ya halali itayoniwezesha...
Kuna watu naweza kusema ni wapiga hela tu hasa hasa facebook wamekuwa na mtindo wa kufungua pages tofautitofauti wakishawishi watu wapakue application yao inaitwa Telebox na nilishasikia kuna watu wameshapigwa sana hela na hao watu
Mfano wamefungua page yao na kujifanya ni Mheshimiwa Jakaya...
Ukiwa na swali lolote au ukihitaji msaada katika kiswahili kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita unaweza ukasaidiwa hapa kadri itakavyowezekana.Ningependelea sarufi kwa mrejesho wa haraka.
Una mpenzi wako(mwanamke) na mahusiano yenu hayana muda mrefu sana ila anakwambia umuhudumie(mf hela na vitu vingine) ila unamwambia ungependa kusex na yeye lakini ana'panic na kuanza kukwambia mwanaume una tamaa.Hivi kuna mapenzi hapo? alitaka mapenzi ya upande mmoja tu (kumhudumia yeye tu) au...
Habari za humu wadau,natumia simu aina ya samsung j1 na line ya tigo.Imekuwa ikinisumbua kwa siku kadhaa sasa kiasi kwamba inafikia muda nashindwa kupiga simu,kutuma messages na hata kutumia internet kwani muda mwingine hata alama ya H+ au 3G na E huwa inapotea na nilijua tatizo ni line yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.