el_magnefico
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 488
- 570
Kwa mdau anayeifahamu shule ya msingi Brookside academy iliyopo Kimara Suka.Nilikuwa nahitaji kufahamu walimu wa pale wanalipwa kiasi gani.
Kwa mdau anayeifahamu shule ya msingi Brookside academy iliyopo Kimara Suka.Nilikuwa nahitaji kufahamu walimu wa pale wanalipwa kiasi gani.
Hoja kuwa nyepesi ni mtizamo wako tu, ni sawa na kuuliza shirika fulani wanalipa mshahara kiasi gani kwa mtu anayefanya kazi gani na hilo ni swali lililoambata na maombi ya msaada kama utaweza kutoa msaada nitashukuru sana ila kama hutaweza kutoa msaada nitashukuru tu.Yaani unafanya vitu vigumu vionekane vyepesi na pia unauliza vitu vigumu kwa hoja nyepesi.
Wewe je unaifahamu?Hiyo shule wewe unaifahamu?