Basi Bwana kuna siku nilikuwa nimepungukiwa kiasi fulani cha hela kati ya Tsh laki tano hadi milion moja na niliitaji niipate kwa haraka sana, Mimi siyo muhumini wa kumkopa rafiki hela ila siku hiyo nikasema lemi try kwa watu wachache wenye uwezo labda nitapata,
Kwenye simu nina watu kama mia...
Kumekuwa na hoja maoni na mitazamo tofauti sana kwa baadhi ya watu kuhusu idadi sahihi ya watoto wanaozaliwa zama hizi kulinganisha na zamani.
Dada mmoja mtu mzima kazini ana watoto watatu na wote wapo shule anasema
"Najilaumu sana kuzaa watoto wachache sasa hivi tumebaki wawili ndani, vijana...
Habari naomba mnisaidie kimawazo
Mdogo wangu alisoma PCB shule ya kata akabahatika kupata one ya point 9, anachotaka kusoma ni MD pekee yake
Ameomba
UDOM-Amekosa
MUHAS-AmekosA
BUGANDO-Amekosa
KCMC-Amekosa
St. Fransis Ifakara-Amepata
Fee structure ya St. Fransis ni kubwa sana ada tu pekee ni...
Unaweza kufa na nyumba ukaacha hapo, otherwise jenga bila haraka, kwa awamu na taratibu uta enjoy
Ukifikia level vitu vya kingereza uwiiiiii ni stress juu ya stress hasa kama unafosi nyumba kuisha na budget yako ni ndogo
Hongereni watu mnaomiliki mabangalooooo
Hongereni mnaomiliki ghorofa
Habari Wana Jamii Forum
Nianze Kwa historia kidogo ,
Takribani miaka minne iliyopita nilikuwa napitia vipindi vigumu sana Kwa sababu nilimpoteza mwenzangu, malezi na majukumu kuniwia mengi
Kutoka kwenye hali ya kutokujishughulisha kivile (kama mjuavyo wadada wamama wa Kiafrika ukiwa na...
Naombanei mnishauri kuhusu hii hali
Iko hivi Nina mtoto wa miaka minne ,ila anapata mafua mara kwa mara na Kila mafua yakimshika yanaambatana na joto Kali sana kati ya nyuzi joto 38 hadi 40 hivyo dawaza kushusha homa kama paracetamol hazisaidii nalazimika kuchoma sindano ya Diclofenac Kila mara...
Hellow Jf Members habari zenu,Nina Million sita cash nahitaji Gari ndogo aina ya Ist,Raum au Allex ya namba D iliyopo kwenye hali nzuri ya kwenda na kurudi Kazini tu
Kama unayo nicheki hapa ila tafadhali usiwe dalali, kama unauza zaidi ya hapo tutaongea
Location Dodoma
Ukiwa Dar nitamwagiza...
Jamani hapa naomba ushauri huko kijijini kwetu kuna vifo vya ghafla huyu ni mtu kama wa sita, mtu anabanwa tu anaondoka
Sasa jana kazidiwa mzee wa jirani kabanwa tu na alikuwa haumwi alishindwa kupumua watu wakaitwa kumsaidia na kumuombea akiwemo baba yangu mzazi mwenye miaka 64, ( baba hana...
Hii ni fursa nzuri kwenu, kwani gharama za kutoa pesa kutoka benki hasa ATM ni nafuu sana
Nimesikia taarifa isiyo rasmi kwamba pesa iliyokuwa kwenye mzunguko wa hii mitandao ya simu ilikuwa ishaipuku baadhi ya benki nchini
Kama ndiyo tumieni fursa hii kujiimarisha hasa kwa kuja na mikakati...
Habari za jumapili wana Jamii Forum
Leo naomba nizungumze kidogo na hawa wenzetu upande wa Kiume mana miaka ijayo kuna hatari ya kupoteza nguvu kazi
Siku izi ni kawaida kabisa kukuta mdada anauza matunda, anatembeza mtumba, anachoma mandazi ubuyu na juice na mengine mengi ya kuingiza kipato...
Habari zenu wana jamii forums
I think this is right place ambapo naweza kupata ushauri yakinifu from great thinkers
Mimi ni mdada naombeni ushauri wenu wapambanaji wenzangu ambao mmeshapiga hatua za kimaisha
Nahitaji kukopa Milioni ishirini kutoka kwenye mshahara wangu nishaenda kwa afisa wa...
Naomba kuuliza mwenye laptop anauza.
RAM iwe kuanzia 3GB na kuendelea.
Hard disc kuanzia 200 na kuendelea.
Ikae na charge kuanzia masaa mawili na kuendelea.
Bei isizidi laki tatu
Kama unayo comments chini nikufate au njoo pm.
NB: Nipo Dodoma
Habari wadau wa Jf
Nina tatizo ambalo linanisumbua kwa mwanangu. Mwanangu anakula chumvi kupita kiasi, ana miaka mitatu kasoro.
Hii tabia ameirithi kwa Baba yake ambaye naye alikuwa anakula chumvi sana, awezi kula chochote bila chumvi na hata akila anasema asikii ladha ya hicho chakula...
Habari ndugu zangu Wana Jf
Naomba kusaidiwa na mtu yeyote mwenye uzoefu na hili
Ipo hivi, nimewahi kusikia kuwa Kuna application Fulani inakusaidia kurekodi stock ,mauzo ,inakuonyesha faida KWA kila bidhaa hata ukitaka kujua bidhaa flani zimebaki pc ngapi unaweza kufahamu ,na Kila kitu...
Habari zenu wana Jf
Katika malezi ya watoto kuna mengi sana ambayo wazazi tunakutana nayo, kama mama nimekuwa nikiona mambo kadhaa kwa mtoto wangu toka akiwa mdogo hadi sasa hivi na moja ya mambo hayo machache ni haya.
Mtoto huwa hasahau yani hili nimelishuhudia. Kuna siku akiwa na 1.5hivi...
Maadui zangu wote Ni wale watu ambao kwa namna moja ama nyingine ;
1.Niliowahi kuwasaidia
2.Niliowahi kuwapenda kwa dhati
3.Niliowahi kujitoa kwao kwa Hali na Mali
4.Niliowahi kuwaamini sana
5.Ni miongoni mwa Wana ndugu nilioamua kuwafadhili Ila mwisho wa siku wamegeuka ADUI
Sina adui ambaye...
Habari za asubuhi,Leo nimeamka na tafakari hii Ni baada ya kusoma Visa vingi mitandaoni vikieleza jinsi ambavyo baadhi ya familia zimepoteza muelekeo/watu wameacha msingi,Sijui Ni utandawazi ama Ni Nini lakini mambo yamebadilika sana.
Kumekuwa na wimbi kubwa la kina baba kutohudumia familia...
Habari zenu wanna jf
Katika kuazimisha siku ya kina baba duniani Leo tujadili kidogo namna unavyoweza kuzungumza juu ya baba yako.
Binafsi kwa upande wangu toka nikiwa mtoto namfahamu baba yangu Kama mtetezi ,mlinzi na mtunzaji ,kiongozi,mwalimu na msemaji mkuu wa familia
Sitaki kuimagine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.