Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 608
- 1,263
Kumekuwa na hoja maoni na mitazamo tofauti sana kwa baadhi ya watu kuhusu idadi sahihi ya watoto wanaozaliwa zama hizi kulinganisha na zamani.
Dada mmoja mtu mzima kazini ana watoto watatu na wote wapo shule anasema
"Najilaumu sana kuzaa watoto wachache sasa hivi tumebaki wawili ndani, vijana ambao bado mnazaaa msifanye makosa yangu."
Nikiziangalia familia zilizofanikiwa kiuchumi wengi wana watoto wawili, mmoja au watatu tu, while familia za kipato cha chini zikiwa na watoto 4-7 waliowengi.
Kwa kizazi cha sasa, mfumo mzima wa maisha kuanzia malezi, uchumi, teknolojia unafikiri ni faida kuwa na watoto wengi/au je ni hasara kuwa na watoto wachache?
Ainisha sababu kwa jibu utakalotoa.
Dada mmoja mtu mzima kazini ana watoto watatu na wote wapo shule anasema
"Najilaumu sana kuzaa watoto wachache sasa hivi tumebaki wawili ndani, vijana ambao bado mnazaaa msifanye makosa yangu."
Nikiziangalia familia zilizofanikiwa kiuchumi wengi wana watoto wawili, mmoja au watatu tu, while familia za kipato cha chini zikiwa na watoto 4-7 waliowengi.
Kwa kizazi cha sasa, mfumo mzima wa maisha kuanzia malezi, uchumi, teknolojia unafikiri ni faida kuwa na watoto wengi/au je ni hasara kuwa na watoto wachache?
Ainisha sababu kwa jibu utakalotoa.