Nafikiri nahitaji kuwa na watu wapya

Nafikiri nahitaji kuwa na watu wapya

Mrs Gudman

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
613
Reaction score
1,300
Basi Bwana kuna siku nilikuwa nimepungukiwa kiasi fulani cha hela kati ya Tsh laki tano hadi milion moja na niliitaji niipate kwa haraka sana, Mimi siyo muhumini wa kumkopa rafiki hela ila siku hiyo nikasema lemi try kwa watu wachache wenye uwezo labda nitapata,

Kwenye simu nina watu kama mia nane + niliosave namba zao nili scrol A-Z wakunisaidia niliohisi tupo karibu na hicho kiasi wanaweza kuafford walikuwa watu watano, kati ya hao niliongea na wawili hahahah kweli sikupata kila mtu alinipa maelezo yake kuwa hana., mwisho nikampigia maza akanipa fasta bila maelezo( live long mumy[emoji7])

Nahisi nahitaji kuwa na network kubwa zaidi, nahitaji kuwa na friends with benefit, watu wengi kwa sasa tunaangaliana status tu hakuna kusaidiana na siku ukipata shida ndo utaelewa kuwa phone book uliyojaza haina msaada kihivyo

Unawezaje kupata marafiki wapya wamuhimu(kwa jina lingine watu wa connection siyo lazima hela kuna ishu nyingi mjini) ikiwa ikiwa siyo mtu wa kujichanganya sana


I think nahitaji kupanua circle yangu, nishaurini
 
Basi buana kuna siku nilikuwa nimepungukiwa kiasi fulani cha hela kati ya Tsh laki tano hadi milion moja na niliitaji niipate kwa haraka sana,
Mimi siyo muhumini wa kumkopa rafiki hela ila siku hiyo nikasema lemi try kwa watu wachache wenye uwezo labda nitapata,

Kwenye simu nina watu kama mia nane + niliosave namba zao nili scrol A-Z wakunisaidia niliohisi tupo karibu na hicho kiasi wanaweza kuaffird walikuwa watu watano, kati ya hao niliongea na wawili hahahah kweli sikupata kila mtu alinipa maelezo yake kuwa hana., mwisho nikampigia maza akanipa fasta bila maelezo

Nahisi nahitaji kuwa na network kubwa zaidi, nahitaji kuwa na friends with benefit, watu wengi kwa sasa tunaangaliana status tu hakuna kusaidiana

Unawezaje kupata marafiki wapya wamuhimu(kwa jina lingine watu wa connection siyo lazima hela kuna ishu nyingi mjini) ikiwa ikiwa siyo mtu wa kujichanganya sana

Mimi maisha yangu ni kazini, home, church, kwa ndugu yangu mara chache sababu ya , sokoni mara chache kwa kweli sinaga mizunguko

I think nahitaji kupanua circle yangu, nishaurini
Msaada is two way traffic ili kuwa na friends with benefit
 
Kati ya unaoita watu wako 800+ wenye uwezo wa kuwa na milioni ni WATANO tu, itoshe tu kusema wewe ni mtu wa chini sana….. na hao watano sio marafiki zako na wala sio hadhi yako bali umesevu namba zao tu.
Omg[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nifanyeje kujinasua kaka, nahitaji friends hata nikikwama millions anaweza nbust
 
Kati ya unaoita watu wako 800+ wenye uwezo wa kuwa na milioni ni WATANO tu, itoshe tu kusema wewe ni mtu wa chini sana….. na hao watano sio marafiki zako na wala sio hadhi yako bali umesevu namba zao tu.
Omg[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nifanyeje kujinasua kaka, nahitaji friends hata nikikwama millions anaweza nbust
 
Walikua hawana kweli au walikua na majukumu mengine acha chuki na kuona it was your right kusaidiwa.
Wewe ndio inatakiwa wakupunguze
Siwezi kujua mifuko yao, ila kwa shughuli zao at first nilijua hawakosi
 
Dunia inaruhusu hayo yatokee ili uwajuwe watu walivyo, Ukipata fedha fedha wekeza, Watu wanakupenda kwa sababu kuna kitu unaweza kuwasaidia, siku ukiwa huna wanakuona popo.
Aisee mkuu ni kweli kukosa hela kubaya sana

Ukipata shida ndo utaelewa ubaya wa umaskini
Kwa kweli tutafute hela, hela ina raha yake
Hela ina heshma yake

Nawazia watu wasio na kipato kabisa namna wana survival nakosa majibu

Kusaidiana kumekuwa nadra sana
 
Wameshindwa kukusaidia leo watakusaidia kesho kila mtu unayekutana nae anakusudi chanya kwenye maisha yako
Basi Bwana kuna siku nilikuwa nimepungukiwa kiasi fulani cha hela kati ya Tsh laki tano hadi milion moja na niliitaji niipate kwa haraka sana, Mimi siyo muhumini wa kumkopa rafiki hela ila siku hiyo nikasema lemi try kwa watu wachache wenye uwezo labda nitapata,

Kwenye simu nina watu kama mia nane + niliosave namba zao nili scrol A-Z wakunisaidia niliohisi tupo karibu na hicho kiasi wanaweza kuafford walikuwa watu watano, kati ya hao niliongea na wawili hahahah kweli sikupata kila mtu alinipa maelezo yake kuwa hana., mwisho nikampigia maza akanipa fasta bila maelezo( live long mumy[emoji7])

Nahisi nahitaji kuwa na network kubwa zaidi, nahitaji kuwa na friends with benefit, watu wengi kwa sasa tunaangaliana status tu hakuna kusaidiana na siku ukipata shida ndo utaelewa kuwa phone book uliyojaza haina msaada kihivyo

Unawezaje kupata marafiki wapya wamuhimu(kwa jina lingine watu wa connection siyo lazima hela kuna ishu nyingi mjini) ikiwa ikiwa siyo mtu wa kujichanganya sana


I think nahitaji kupanua circle yangu, nishaurini
 
Back
Top Bottom