Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 608
- 1,263
Hii ni fursa nzuri kwenu, kwani gharama za kutoa pesa kutoka benki hasa ATM ni nafuu sana
Nimesikia taarifa isiyo rasmi kwamba pesa iliyokuwa kwenye mzunguko wa hii mitandao ya simu ilikuwa ishaipuku baadhi ya benki nchini
Kama ndiyo tumieni fursa hii kujiimarisha hasa kwa kuja na mikakati madhubuti itakayowavutia wateja hasa maeneo ya mijini panapo patikana huduma hizi
Kwa sasa kama huna account NMB au CRDB basi bora nikufate kuliko kutuma na ya kutolea.
Nimesikia taarifa isiyo rasmi kwamba pesa iliyokuwa kwenye mzunguko wa hii mitandao ya simu ilikuwa ishaipuku baadhi ya benki nchini
Kama ndiyo tumieni fursa hii kujiimarisha hasa kwa kuja na mikakati madhubuti itakayowavutia wateja hasa maeneo ya mijini panapo patikana huduma hizi
Kwa sasa kama huna account NMB au CRDB basi bora nikufate kuliko kutuma na ya kutolea.