Nawapongeza watani zetu, ingawa roho inauma kwa mafanikio ya soka lenu lilivyokua kwa kasi
Kwenye ushabiki nitasema nyinyi ni wabovu ila mbungi ikipigwa nakubari kuwa mlijifunza kutoka kwa 🦁 na mmeongeza kitu zaidi
Mwakani naamini chama langu SIMBA litafanya mabadiriko, nasi tutaonesha...
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max
Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo...
Niwaambie tu ukweli Mashabiki wote wa Utopolo, ukiachana na mambo yetu ya utani wa jadi ila ukweli ni kwamba leo hamtoboi!
Kwa mazingira yoyote yale sioni Utopolo wakipata matokeo ya ushindi.
Poleni sana.
Kwema humu?
Kama tunavyojua maisha ni magumu sana huitaji wa kazi umekua mkubwa sana mtaani
Nimeahangaika nikapata ajira kampuni flani hivi nimepewa mkataba ndio kwanza miezi mitatu lakini hii kazi inaelekea kunishinda
Kazi haina mapumziko,haina overtime kitu kidogo kazini unakatwa pesa...
Habari zenu wakuu,
Niende kwenye lengo moja kwa moja nimebahatika kufunga ndoa kama miaka mitatu iliyopita lakini ndoa yangu mpaka sasa aikubahatika kupata mtoto wala mkewangu hakuwai kushika mimba.
Mkewangu anasumbuliwa sana na tatizo la chango na kuna wakati siku zake upitiliza hata zaidi ya...
Vyuma vimekaza mwenyewe anarudi shamba
Anauza kabati la vyombo lipo vizuri la mbao bei 200,000/=
Kabati la nguo mbao tupu lina milango yake ila alijafungwa so itahitaji upate fundi aifunge iyo milango mwenyewe ameiegesha tu bei 180,000/=
Anapatikana Dar es salaam, MBEZI
Maongezi yapo
Mpigie...
Nauza vifaa vifuatavyo vya laptop
1.Hard disk 160GB sata,Tsh 25000/=
2.Adapter ya laptop aina ya DELL,Tsh 20000/=
3.Ram 1GB DDR2,Tsh 15000/=
4.Betri la laptop aina ya DELL inakaa na chaji kwa lisaa limoja bei Tsh 45000/=
5.Mlango wa DVD wa laptop,Tsh 20000/=
Bei zinazungumzika kidogo
Nipo Dar...
Hatimae yametimia mda si mrefu nitafunga pingu za maisha na mwanamke wa ndoto zangu
Karibuni sana ndugu zangu na marafiki zangu
Itakua tarehe 27/8/2017
Dar es salaam
Naomba mungu anisimamie niweze kulitimiza jambo hili kwa uwezo wake pia aendelee kuilinda ndoa yangu
Karibuni sana
Nauza vifaa tajwa hapo juu kwa bei ya kutupa kabisa
Vifaa vya saluni
Vito viwili kila kimoja 45000/=
Vioo viwili kila kimoja 45000/=
Mashine mbili bado mpya zina miezi mitatu tu kila moja 50000/=
Benchi la kukalia wateja 40000/=
Laini ya Tigopesa 150000/=
Maongezi yapo pia tunaweza anya...
Habari zenu wakuu
Sisi ni mafundi ujenzi tuliobobea katika ujenzi wa nyumba tunafanya kazi zifuatazo
1.Kujenga nyumba
2.Kupaua
3.Kufunga gypsum pamoja na kuskim
4.Kupaka rangi nyumba
5.Kuweka tiles
6.Kufanya wiring
Nimeshindwa kuweka picha hapa ila atakaehitaji kuona kazi zangu anicheki whatsapp...
Habari ndugu zangu
Nauza laini ya uwakala ya Tigo pesa bei 270,000/=.Nakupa pamoja na simu yake pia ina kamisheni kidogo ya mwezi huuu,ukiichukua ni kuanza kazi tu.
Pia nauza na computer hp ikiwa full,inapiga kazi fresh kabisa ina nyimbo za bongo fleva mpya na...
DELLflat screen tv pia unaweza kuitumia kama monitor kwenye computer 200,000/=
Deki ya singsung 45000/=
King'amuzi cha startimes 20000/=
Subwofer aina ya rising 70000/=
Laini ya m pesa 120000/=
Nipo dar es salaam
Mawasiliano namba 0656899091
VYOTE VIPO KWENYE HALI NZURI
Nauza kwasababu naamia...
Inauzwa computer full aina ya HP
Ina sifa kama zifuatazo
Intel(R) Pentium(R) D CPU 3.40GHz
3.39GHz,1.23 GB of RAM
580 GB of HARD DISC
Bei ni kuanzia laki tatu 300,000 na maelewano yapo
kwa mawasiliano namba 0656899091
nipo dar es salaam
NB; Computer ina nyimbo zote mpya pamoja na zazamani...
Wakuu nauza kiwanja kipo maeneo ya Mbagara, Charambe kinaukubwa wa 40Ã-40.
Kipo karibu na barabara, eneo lina umeme pia kiwanja hakina darali tunafanya biashara kimepimwa na kina hatimiliki zote bei ni 3.5milioni.
Kwa mawasiliano namba 0656899091, maelewano yapo.
Habari za usiku huu wana JF
Kuna binti ambae tumezoeana sana na tumekua marafiki wakubwa tu ila aijawai kutokea nikaenda alipopanga na yeye akuwai kuja ninapoishi ingawa anapafahamu na mimi napafahamu anapoishi
Cha kushangaza mda huu baada ya kutoka kuoga nimemkuta amekaa mlangoni akinisubiri...
Habari ndugu wana JF?
Kwa wale ambao wanahitaji mifuko laini ambayo inatumika sana kwenye kuwekea chips,unga,maharage nk
Inapatikana kwa jumla na rejareja,tupo dar es salaam
Pia na mayai ya kuku wa kisasa yanapatikana kwa bei ya rejareja na jumla kwa tray
Kwa maelezo na manunuzi piga namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.