bitebo7
JF-Expert Member
- May 1, 2015
- 858
- 593
Kwema humu?
Kama tunavyojua maisha ni magumu sana huitaji wa kazi umekua mkubwa sana mtaani
Nimeahangaika nikapata ajira kampuni flani hivi nimepewa mkataba ndio kwanza miezi mitatu lakini hii kazi inaelekea kunishinda
Kazi haina mapumziko,haina overtime kitu kidogo kazini unakatwa pesa kwenye mshahara wako, unaingia kazini saa mbili asubuhi unatoka saa tatu au nne usiku ni kazi ya kupelekeshwa tu hata mkataba haufuatwi ila watu wanafanya kwakua hawana pakwenda bosi anafoka muda wote. Mimi binafsi najiandaa kusitisha mkataba wangu
Kama kuajiriwa ndio huku nimeshindwa 🙌 acha nirudi sokoni kuuza mtumba
MAISHA MAZURI NA YAFURAHA YAPO UKIJIAJIRI TU
Kama tunavyojua maisha ni magumu sana huitaji wa kazi umekua mkubwa sana mtaani
Nimeahangaika nikapata ajira kampuni flani hivi nimepewa mkataba ndio kwanza miezi mitatu lakini hii kazi inaelekea kunishinda
Kazi haina mapumziko,haina overtime kitu kidogo kazini unakatwa pesa kwenye mshahara wako, unaingia kazini saa mbili asubuhi unatoka saa tatu au nne usiku ni kazi ya kupelekeshwa tu hata mkataba haufuatwi ila watu wanafanya kwakua hawana pakwenda bosi anafoka muda wote. Mimi binafsi najiandaa kusitisha mkataba wangu
Kama kuajiriwa ndio huku nimeshindwa 🙌 acha nirudi sokoni kuuza mtumba
MAISHA MAZURI NA YAFURAHA YAPO UKIJIAJIRI TU