Habari JF?
Naomba kujua, hv kazi za BOT zilizotangazwa October mwaka jana zilikua kiini macho? Kama hawakua tayari kwa nn walitangaza? Au watu washaajiriwa tayari?
Habari JF dr?
Mwaka jana nilienda kufanya body check up. Bahati vipimo vyote vilikua sawa na sikua na tatizo lolote, isipokua underweight.
Dr alinambia uzito wangu na weight haviendani na I have to add more weight. I am 56kg na urefu wa 182cm. Kwa urefu huo, natakiwa niwe na uzito wa 75kg...
Habari wana JF?
Kama kichwa cha habari kinavojieleza.
Kwa ufupi ni kwamba, naombeni msaada wa kisheria juu ya jinsi ya kupata hati ya eneo la zaidi ya hekari 18 ninalolimiliki kiasilia.
Nimekua katika harakati za kuyapatia hati maeneo ambayo ninayamiliki miaka nenda rudi. Maeneo hayo nimekua...
Habari JF?
Nime graduate BSc Computer science kwenye chuo kimojawapo nje ya nchi.. Ningependa kufanya kazi nyumbani Tanzania, kwa hiyo ninaomba mwenye taarifa za zitakazowezesha kupata kazi ya ICT..
I am ready to start a job anytime kuanzia August. Naweza fanya hata Assignment based Jobs pia...
Ni kwanini JK alikwepa kujibu hoja ya Sir Tim Berners-Lee wa W3C kuhusu IT technology in Education huko Davos? Au ndo kusema we still manufacturing teachers and textbooks?? Una maoni gani kuhusu mtizamo wa serikali juu ya IT? Je, serikali ya Tanzania iko tayari kweli ku invest kwenye IT kama...
Nimekua nikipenda nyimbo za huyu jamaa, ila kwenye hii interview naona kateleza.. Ofcourse kuna mambo kadhaa ya mhimu kayasema, kama kuhusu watu kutumia English kwenye movies halafu hata ki-English chenyewe hawakijui.. Pia kuhusu Editors ambao wanafanya hovyo wakati wa ku edit movie...
But...
Habari wana JF, Naomba kufahamu changamoto zinazoikabiri Tradition(Manual) Information system katika sekta ya Elimu.. Especially Secondary schools pekee..
Nataka kufahamu
Matatizo yanayowakabili walimu katika ku process taarifa zao za siku hadi siku mashuleni.. Hii nikimaanisha processing ya...
Habari wanajamvi?
Nimetokea kupapenda sana Dubai,Singapore na Malaysia na ninatamani kufahamu kuhusu upatikanaji wa kazi huko.. Nataka kufanya application ya kazi huko..
So, mwenye information za kutosha naomba anipatie au ani PM... Nataka kupata taarifa kuhusu upatikanaji wa kazi na mazingira...
Habari zenu wana-JF?
Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu..
Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri.
Shukrani!
Mifano ya Barua ya Maombi, Wasifu (Resume) na Rejea (Reference):
Kwa hisani ya HMS
Ndugu zangu,
kuna msemo unasema, "The future is for those who prepare for it today"..
Nchi inakwenda mrama
Maisha yanazidi kuwa magumu
Ufisadi unaongezeka
Tulisikia magamba yanavuliwa, lakini utafiti wangu unaonesha magamba yanavaliwa upya kwa kasi na ari mpya
Nidhamu...
Katika pekua pekua yangu, nimegundua thread hii ndo the longest kushinda zote...
https://www.jamiiforums.com/international-forum/112307-the-libyan-crisis-and-gadaffis-options.html
Ina pages 179
Comments 3571
na bado ngoma inaendelea sijui itaishia wapi...
Never give up
mtoto wa mfugaj
msani
Chuma Chakavu
Msema hovyo
Lukolo
Na wengine walioifungua link niliyoitoa
Nilianzisha thread ambayo imeonekana kua inashtua, especially kwa watu wenye matatizo ya mshtuko.. Sikufanya hivyo kwa makusudi.
Thread yenyewe ni hii hapa Click hapa
Naomba...
Click link hii hapa chini, na uangalie tofauti ya hizo picha mbili utakazoziona..
Note: Usifungue kama una-hisi una pressure
http://www.susya.ru/flash/fvp.swf
JK kasema hana uwezo wa kunyeshea mabwawa, kwa hiyo anasikilizia siku mvua itakaponyesha umeme utarudi..
Amesikitika kwamba, hata yeye inamuuma kuona umeme haupo, ila angeweza angenyeshea fasta.. Tusubirini mvua inyeshe, mgao utaisha...
Habari,
Naomba msaada wa jinsi ya ku run Servlet kwa kutumia Apache Tomcat server (Natumia tomcat 7), with JDK kwenye windows.. JDK seems to work fine..
Nimecreate form tag kwenye .html file na I called the servlet, but it didn't respond as how I wanted it to.. So, may be nimekosea kuiweka...
Habari?
Nahtaji kufikisha ujumbe wangu kwa waziri wa elimu ya juu.. Je nifanyaje?? Na, hakuna uchakachuaji wowote wa ujumbe unapokua unasafiri kwenda kwake?? Maana wasiwasi wangu huenda ujumbe wangu usimfikie na badala yake ukakomea njiani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.