Naomba kufahamu Upatikanaji wa kazi Dubai

Moseley

Senior Member
Jul 10, 2010
187
94
Habari wanajamvi?

Nimetokea kupapenda sana Dubai,Singapore na Malaysia na ninatamani kufahamu kuhusu upatikanaji wa kazi huko.. Nataka kufanya application ya kazi huko..

So, mwenye information za kutosha naomba anipatie au ani PM... Nataka kupata taarifa kuhusu upatikanaji wa kazi na mazingira kama ni conducive..


Mimi ni Competent Computer scientist, niko specialized kwenye issue za Programming(web/desktop apps) na Database Systems(Design & Administration)


Shukrani
 
Habari wanajamvi?

Nimetokea kupapenda sana Dubai,Singapore na Malaysia na ninatamani kufahamu kuhusu upatikanaji wa kazi huko.. Nataka kufanya application ya kazi huko..

So, mwenye information za kutosha naomba anipatie au ani PM... Nataka kupata taarifa kuhusu upatikanaji wa kazi na mazingira kama ni conducive..


Mimi ni Competent Computer scientist, niko specialized kwenye issue za Programming(web/desktop apps) na Database Systems(Design & Administration)


Shukrani

Unajua watu wengine mnashangaza kupita maelezo?
Umesema unapapenda na bado huna taarifa zake, sasa unapapendaje? Au umependa majina ya hizo nchi? Yawezekana na shemeji yangu ulianza kumpenda kabla hujamuona na ndio maana sasa mmeachana akili zinakuruka unaongea vioja zaidi. Ubongo wako unahitaji kuwa programmed upya kabla hujaanza kuprogram madudu kwenye ofisi za watu.
 

Unajua watu wengine mnashangaza kupita maelezo?
Umesema unapapenda na bado huna taarifa zake, sasa unapapendaje? Au umependa majina ya hizo nchi? Yawezekana na shemeji yangu ulianza kumpenda kabla hujamuona na ndio maana sasa mmeachana akili zinakuruka unaongea vioja zaidi. Ubongo wako unahitaji kuwa programmed upya kabla hujaanza kuprogram madudu kwenye ofisi za watu.

kwani ungemjibu vizuri nini kingekupata, au unataka onekana kuwa we ndo unajua kureply saaaanaa, mangapi we unauliza na unajibiwa hivo, khaaaa, jitu zima hovyo, mambo ya shemeji yameingiaje hapa, we vipi ww, kama hujui kaa kando c lazima kila kitu ujibu banaaaa..... ebu tupishe cku nyingine.......nyambafu weee,
 
Habari wanajamvi?

Nimetokea kupapenda sana Dubai,Singapore na Malaysia na ninatamani kufahamu kuhusu upatikanaji wa kazi huko.. Nataka kufanya application ya kazi huko..

So, mwenye information za kutosha naomba anipatie au ani PM... Nataka kupata taarifa kuhusu upatikanaji wa kazi na mazingira kama ni conducive..


Mimi ni Competent Computer scientist, niko specialized kwenye issue za Programming(web/desktop apps) na Database Systems(Design & Administration)


Shukrani

ingia google andika jobs in dubai, tena ukiweza andika hadi proffession yako, hopefull utapata kitu kizuri sana...........ALL THE BEST
 
kwani ungemjibu vizuri nini kingekupata, au unataka onekana kuwa we ndo unajua kureply saaaanaa, mangapi we unauliza na unajibiwa hivo, khaaaa, jitu zima hovyo, mambo ya shemeji yameingiaje hapa, we vipi ww, kama hujui kaa kando c lazima kila kitu ujibu banaaaa..... ebu tupishe cku nyingine.......nyambafu weee,

Hey hey hey, cool down! Hata ukitaka nikupeleke Dubai sitasita kukupeleka lkn don't be pathetic. Mnaleta zenu hapa za kujifanya mainjinia huku hata kuongea hamjui. Ukiamua kuwa a bit logical utagundua ni ufukunyuku mtupu mtu kuniambia anapapenda Dubai halafu hana taarifa zake. Sasa aliwezaje kupapenda. Na wewe na jazba zako nimegundua huna shemeji, cool down I will find one for you
 
Ingia surakitabu ingiza neno mange kimambi lowkey huyu anaishi dubai na ni maarufu atakusaidia sana ni binti mkarimu katika kusaidia watu.
 

Unajua watu wengine mnashangaza kupita maelezo?
Umesema unapapenda na bado huna taarifa zake, sasa unapapendaje? Au umependa majina ya hizo nchi? Yawezekana na shemeji yangu ulianza kumpenda kabla hujamuona na ndio maana sasa mmeachana akili zinakuruka unaongea vioja zaidi. Ubongo wako unahitaji kuwa programmed upya kabla hujaanza kuprogram madudu kwenye ofisi za watu.
Hivi lazima ucomment kila thread unayoiona!? Ka hauna cha kumjibu ungeuchuna tu,.Angekuwa na taarifa za huko unadhani angepoteza muda kupost uzi!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom