hivi hivi vingamuzi vyao vina station nzuri?????Na kuna station hata moja inayoonesha mpira wa ligi za Ulaya????
naomba msaada, nahitaji king'amuzi cha digitek. Wapi naweza kipata? Nimejaribu kuchek kwenye website yao, namba ya simu haipatikani.
Shukrani.
Utumbo tu
Utumbo nini????