Moseley Senior Member Jul 10, 2010 187 93 Jul 22, 2011 #1 JK kasema hana uwezo wa kunyeshea mabwawa, kwa hiyo anasikilizia siku mvua itakaponyesha umeme utarudi.. Amesikitika kwamba, hata yeye inamuuma kuona umeme haupo, ila angeweza angenyeshea fasta.. Tusubirini mvua inyeshe, mgao utaisha...
JK kasema hana uwezo wa kunyeshea mabwawa, kwa hiyo anasikilizia siku mvua itakaponyesha umeme utarudi.. Amesikitika kwamba, hata yeye inamuuma kuona umeme haupo, ila angeweza angenyeshea fasta.. Tusubirini mvua inyeshe, mgao utaisha...