Moseley
Senior Member
- Jul 10, 2010
- 187
- 93
Nimekua nikipenda nyimbo za huyu jamaa, ila kwenye hii interview naona kateleza.. Ofcourse kuna mambo kadhaa ya mhimu kayasema, kama kuhusu watu kutumia English kwenye movies halafu hata ki-English chenyewe hawakijui.. Pia kuhusu Editors ambao wanafanya hovyo wakati wa ku edit movie...
But, alikosea sana kutumia abusive language, and seems hafahamu kuji express kwenye public coz he was talking as if yuko kijiweni but was on the public...
Jipange bro, Unaweza poteza mashabiki...
But, alikosea sana kutumia abusive language, and seems hafahamu kuji express kwenye public coz he was talking as if yuko kijiweni but was on the public...
Jipange bro, Unaweza poteza mashabiki...
Last edited by a moderator: