Ni huyu msanii wa injili ametokea kunikosha sana na nyimbo zake ila hii NIMEACHILIA ni ya moto sana...inagusa hisia sana za vijana tunayopitia...
Nyimbo ina liwaza, elimisha na inaponya.binafsi mimi ni muislam lakini napenda sana kumsikiliza kwetu hatuna ubaguzi na dini....dini tumezikuta na...
Habari wakuu mimi ni mjasiriamali mdogo mdogo,nilikuwa nahitaji huduma hii ya kuscan kwa kupitia seclom mastercard.msaada jinsi ya kuipata na vigezo vyake
Mwanamke ni kiumbe wa ajabu sana tena asiyetabilika. Ukilia mwenzio anacheka, ukicheka mwenzio analia. Mara zote wao ndio huwa wanapenda kufanya tuonekane sisi wanaume tuna makosa mbele za jamii kumbe chanzo ni wao.
Huyu alikuwa mke wangu na nilibahatika kupata naye mtoto mmoja. Sikuwahi...
Wakuu kama tangazo linavyosema nahitaji simu hiyo hapo juu. Hii simu yangu haina tatizo lolote ni yangu nina kila kitu chake hadi stakabadhi niliponunulia utapata. kwanini A9 pro 2016 hii simu nilishawahi tumia nikaibiwa. Nilijaribu zunguka madukani nikaikosa mwenye interest aje pm tuyajenge...
zamani nilikuwa najua ni story za kutungwa tu au chai lakini hii nimeshuhudia mwenyewe,ni hivi mzee aliamua kujenga kibanda ( nyumba) katika wilaya moja ya pwani nyumba ilijengwa kwa madhumuni kama tukitaka kwenda tuwe na mahali pakufikia bahati mbaya ile nyumba toka ijengwe hatujawahi kwenda...
wanakuletea mwonekano mpya wa simu ambayo camera yake ipo chini ya kioo ....
fungua link kwa maelezo zaidi
[Xiaomi Weekly News #10] Xiaomi Under-display Camera Technology Coming, Mi Band 4 and More! http://c.mi.com/thread-2220513-1-0.html
Leo tarehe 18.1.2018 wakazi wa Kigamboni tumeisoma number kwa kirumi ni baada ya usafiri wa pantoni kusumbua.hapa ferry kuna pantoni tatu lakini kwa siku ya leo inayofanya kazi ni moja tuu.tena ile ndogo imezidiwa kwa kweli watu ni wengiii imebidi iwe inachukua abiria tu na kuwavusha huku wenye...
Jamani ni mda tu natumia simu aina ya samsung note 3.jana nimepatwa na tatizo la screen kutumika nusu namaanisha icon zimekuwa ndogo, kila nikiset font hakuna msbadiliko naombeni msaada.viandishi vimekuwa vidogo hadi macho yananiuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahusika wa huu mtandao naomba mjirekebishe kwa kweli mnatuumiza sasa wananchi wenye vipato vya chini.
Tatizo lenyewe ni huu wizi wa kuwaunganisha wateja wenu vifurushi bila wahusika kujiunga yaani mkiona tu mteja amebakiza salio kwenye simu yake mtafanya kila njia muichukue.
karibia miezi...
Mida ya asubuhi leo napokea sms hii kutoka kwa babu(mganga).hivi hawa matapeli number zetu huwa wanatoa wapii?? Nimejifanya kumwambia babu umekosea number ila na mimi nataka huo utajiri ili nimdake.kanipigia sijapokea simu ilikuwa silent.
Kuna ajali imetokea mida hii saa 11.00 usiku maeneo ya kimara baruti.basi limeingia kwenye kitoa cha mabasi ya mwendo kasi.
Updates:
Abiria wote wametoka salama.konda pekee ndio aliyepata majeraha kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.