babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,163
- 5,971
.
mkuu mie ni mjumbe tu nimeungwa hilo bundle kwa free then kazi yangu ni kuleta jf hilo tangazo hope umenielewa mkuuWewe ndiye uliyetakiwa kuniunga bundle la mwaka mpaka sasa hujanifanya lololte zaidi ya kunipa application tu.Hivi mkiwa waaminifu na kufanya kazi zenu kwa weledi hamjui ya kuwa ndio msingi wa maendeleo ya kazi zenu angalieni haya mtakutana na watu wanaomwachia Mungu alafu mambo yenu yashughulikiwe na Mungu maana sidhani kama Mungu anafurahia Mja wake nikitapeliwa peupe atafanya njia
Mmmm kumbe alipita mwaka jana akajamba leo kapita kanyaNitawaexpose mpaka mnirudishie hela zangu
Nitawafungulia uzi na pia TCRA watawashughulikia