babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,161
- 5,971
Wakuu kama tangazo linavyosema nahitaji simu hiyo hapo juu. Hii simu yangu haina tatizo lolote ni yangu nina kila kitu chake hadi stakabadhi niliponunulia utapata. kwanini A9 pro 2016 hii simu nilishawahi tumia nikaibiwa. Nilijaribu zunguka madukani nikaikosa mwenye interest aje pm tuyajenge.
Asante
Asante