Takribani mwezi au wiki mbili tatu mfululizo, Clouds Fm wamekuwa wakiendesha mjadala redioni unaoangazia mambo kadha wa kadha ya game ya muziki wa Bongo Fleva, tangu kuasisiwa kwake.
Mijadala hii, iliyopewa jina la Bongo Fleva Round table, inayofanyika jumamosi kwenye kipindi cha Bongo Fleva...
Billboards Charts, wametoa list ya Album bora 100 za muongo wa 2010-2019. Na at the top ni Album ya Kanye Omary west My Beautiful Dark Twisted Fantasy (2010).
Disclaimer: Binafsi mimi mwenyewe kama Pinno nilikuwa nimeshaipa hii Album hii tuzo, kimoyomoyo, kama tu ambavyo nimeshatoa tuzo hizo...
Wakuu, hawa jamaa walitangaza hizi kazi mwezi wa nne
Hivi walishaita watu kwenye usaili, maana nimejaribu kufuatilia sijaona tangazo lolote likiita watu kwa usaili na muda umepita sana au mimi ndo sina taarifa?
Asante.
Kama kawaida
Nimepanga kuhudhuria Sahara sparks 2019: Africa in the fourth industrial revolution
Ni moja kati ya event kubwa ya mambo ya Tech Africa, ambayo tofaut na event nyingine zinazotokea sehemu nyingine za Africa, hii imezaliwa hapa Bongo, na vijana wa kibongo na had sasa imefanikiwa...
Leo kumefanyika mkutano mkubwa sana wa siasa mkoan Mara -Tarime
Mh John Heche mbunge wa Tarime amechukua muda wake kupost picha za mkutano huo katika mtandao wa twitter
Picha ikionesha mamia ya watu waliohudhuria, na kwa kweli inavutia sana kuonesha ukuaji wa Demokrasia nchini, (Mwenye picha...
Najiuliza swali moja sipati jibu,
Moja ina maana Uhuru wa Tanganyika ulipangwa siku 16 kabla?
nini kilifanya wachague hiyo tarehe?
maana ukisema haukupangwa, ilikuwaje, Mzee nyirenda, apange safari ya kwenda Mt Kilimanjaro, akiwa na mwenge wa uhuru na Bendera, na historia inaonesha alitumia...
Ni one of the short docuseries on Netflix sasa hivi, imeanza kuruka nadhani last week,
Nimekuwaga nikisoma habari za Majasusi wa Mossad, na namna ambavyo Mossad ni moja ya Intelligence Unit inayoheshimika zaidi duniani, along with CIA,M16 KGB na nyingine. Humu Jf na hata kwingineko.
Sasa this...
Wandugu,
Mimi sio mpenzi sana wa soka, ila huwa nafuatilia timu yangu ya Taifa, Timu yangu ya Mkoa naotoka, na timu mbili tatu ambazo zinanifutia ligi za mbele, ila sio yule shabiki ambae ni shabiki kindaki ndaki,
Sasa nafahamu kuhusu yule kipa, kipenzi cha rais wa Jiji la Dar es salaam, ambae...
Huyu dogo amekwenda,
Ni kweli historia yake ya matukio huko nyuma, mfano tukio la wizi, lililoandikwa hapo nyuma, na visa kadhaa kama hizo watu wanasema za skendo za kusepa na wake za watu, zinamfanya aonekane kama ni halali kwa yaliyomkuta.
Ila kila binadamu ana haki ya kuishi, na kama ni...
Nimejikuta najiuliza hili swli bila majibu
Kuna watu kila nikiingia twitter na katika mitandao mingine, nakuta kuna ajenda wanaikampenia
kama sio #bringback nani atakae kuwa ametekwa na wasiojulikana kwa kipindi hicho, basi itakuwa kampeni yoyote ile juu ya jambo litakalokuwa limeibuka kwa...
Kuna video nimeiona, nashindwa tu kuiweka hapa,
ila watanisaidia wenye nayo, maana ipo sana tu mtandaoni,
inamuonesha Mzee SSB, akiingia msibani, kwenye msiba wa wafanyakazi watano wa Azam Media, kuelekea kiti kwake, anampita Katibu wa CCM ndugu Polepole, anampita Rc wa Dar es salaam...
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo
But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa...
Kama Mtanzania yeyote, na Muafrika yeyote ambae anafuatilia habari mbalimbali , Nimejikuta sijapitwa na hizi habari na mijadala inayoendelea kuwa Namba moja ameshindwa kuzungumza lugha ya Kiingereza huko south
Tofauti na watu wengine, wanaoshadadia, mimi nina baki kuwa positive kuwa Mheshimiwa...
Wajasiriamali wadogo na wakubwa,
Wafanya Biashara ,ndogo za kati na kubwa
Na wafanyakazi wote sekta binafsi,
Ambao pesa yetu haitokani na bajeti ya serikali, and yet tunalipa kodi tena kwa kiwango kikubwa
Tunatunisha mifuko ya Pension houses ,Tuna toa ajira kwa wengine
Hatutegemei...
Wakuu
Nimepata safari ya kwenda Moron Comoro Kikazi
Ila nataka kuitumia safari hii pia kuangalia fursa mbalimbali za biashara
Naomba kwa yoyote anaejua mawili matatu anisaidie
1)ukiachia usafir wa ndege ambao ntatumia sasa,usafir wa boti upoje? Unagharimu kias gan? Na muda gan?
2)kuna...
Kumbe Pamoja na Umbufi ambao huyu jamaa alifanya kwenye historia ya Ottoman, kiasi cha juzi kusababisha vilio kwa wapenzi wa Tamthila inayogeza maisha yake ya Sultani inayorushwa AZAM TV, naona Dunia bado kuna vitu inathamini kama mchango wake,
Katika pita pita zangu nakutana na website ya...
Kumbe Pamoja na Umbufi ambao huyu jamaa alifanya kwenye historia ya Ottoman, kiasi cha juzi kusababisha vilio kwa wapenzi wa Tamthila inayogeza maisha yake ya Sultani inayorushwa AZAM TV, naona Dunia bado kuna vitu inathamini kama mchango wake,
Katika pita pita zangu nakutana na website ya...
Kumbe Pamoja na Umbufi ambao huyu jamaa alifanya kwenye historia ya Ottoman, kiasi cha juzi kusababisha vilio kwa wapenzi wa Tamthila inayogeza maisha yake ya Sultani inayorushwa AZAM TV, naona Dunia bado kuna vitu inathamini kama mchango wake,
Katika pita pita zangu nakutana na website ya...
Kumbe Pamoja na Umbufi ambao huyu jamaa alifanya kwenye historia ya Ottoman, kiasi cha juzi kusababisha vilio kwa wapenzi wa Tamthila inayogeza maisha yake ya Sultani inayorushwa AZAM TV, naona Dunia bado kuna vitu inathamini kama mchango wake,
Katika pita pita zangu nakutana na website ya...
Live kutoka JNICC
Tuzo za malkia wa nguvu zinazotolewa na Clouds Media na KCB tujiajiri program
Mgeni rasmi ni Mama Getrude Mongela, na naona na watu mashuhuri kadhaa akiwemo RC wa jiji hili, wakuu wa wilaya kadhaa ,wafanyabiashara Kama Eric Shigongo na wengine wengi
Tayari tuzo ya malkia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.