pinno
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,213
- 1,228
Najiuliza swali moja sipati jibu,
Moja ina maana Uhuru wa Tanganyika ulipangwa siku 16 kabla?
nini kilifanya wachague hiyo tarehe?
maana ukisema haukupangwa, ilikuwaje, Mzee nyirenda, apange safari ya kwenda Mt Kilimanjaro, akiwa na mwenge wa uhuru na Bendera, na historia inaonesha alitumia siku 16 kupanda mlima?
naomba nijuzwe juu ya historia jinsi uhuru ulivyopatkana
Moja ina maana Uhuru wa Tanganyika ulipangwa siku 16 kabla?
nini kilifanya wachague hiyo tarehe?
maana ukisema haukupangwa, ilikuwaje, Mzee nyirenda, apange safari ya kwenda Mt Kilimanjaro, akiwa na mwenge wa uhuru na Bendera, na historia inaonesha alitumia siku 16 kupanda mlima?
naomba nijuzwe juu ya historia jinsi uhuru ulivyopatkana