Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu nimetumia heat sink compound ambayo picha yake ipo hapa chini..lakini ps3 bado haijaacha kuoverheat,japokuwa kuna mabadiriko tofauti na mwanzo..sasa hv haizimi nikiweka maximum fan...
0 Reactions
1 Replies
633 Views
Naombeni msaada wa kutengeneza vertical post kwenye website kwaanayefaha code zake asanteni
0 Reactions
5 Replies
881 Views
naomba kujuzwa ubora wa hizi tv za tcl naskia ni kampuni moja na hitach. ni nzuri kwakuitumia na haina matatizo? ahsante
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Habari wakuu, Nime install hii application ya GB Whatsapp lakini napata ugumu wa ku quote Ujumbe wa mtu binafsi katika group, tofaut na ile Whatsapp ya mwanzo niliyokuwa nnimezoea. Kwa mwenye...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habarini wakuu nina simu yangu samsung S5 nitafuta ile mbaya sehemh ya hotspot nimekosa ni yangu tu au tupo wengi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JINSI YA KU UPDATE ANDROID KITKAT KWENDA LOLLIPOP No Computer needed….. Utangulizi: Bado Teknologia inakua kila sekunde.. Yapo Maboresho kila Nyanja hasa katika Mawasiliano kwa ujumla. Kompyuta na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau iv nawezaje kupata dab emoj ya ukwel kama unayo share link tu download
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa kutumia hii app ni rahisi sana kuroot simu za android hii appinaitwa frame root 1.download hapa http://forum.xda-developers.com/attachment.php?attachmentid=2784451&d=1402084843 2.fungua...
4 Reactions
139 Replies
34K Views
Naomba msaada wadau.... Kila nikiupload video clips za mechi za ulaya haikai muda inakua blocked worldwide. Tatizo ni nini? Maana unakuta watu wengi wameweka video hiyohiyo lakini mimi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Najifunza mambo web design lakini kupitia internet kuna sehemu Hii nimekwama nisaidie kila nikiweka link inakataa kusearch inaniambia era nisaidieni jamani uwa naandika link namna Hii <!DOCKTYPE...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu, Msaada wa haraka Kama Uzi unavyo eleza. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nahitaji kuhamisha line ya simu toka moja kwenda simu nyingine mpya,nahitaji kuhama na msg zote za simu A kwenda simu B.nini naweza fanya?maana kuna msg muhimu ktk maisha yangu nitazitumia siku za...
0 Reactions
5 Replies
833 Views
Naombeni msaada kujua hasi na chanya kwenye kifaa kinachoitwa resistor na kujua utofauti wa Ohms tafadhali
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Nimepata barua yenye PIN za kufanyia account verification, na nimefanikiwa ku-verify account, sasa naomba kufahamu ni baada ya siku ngapi nitatumiwa hela ambazo zipo kwenye account yangu ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Za asubuhi wandugu. Naombeni msaada wa software ya kuchanganya video na inayoweza kusave hiyo kazi moja kwa moja kwenye mashine. Natanguliza shukrani
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Aseee kuna huyu dada anaitwa fatma ana website tatu nazozifahamu 1: Ocean of games; hii ni kwa ajiri ya kila aina ya game na crack zake 2: get into pc; hii ni kwa ajiri ya app yoyote unayoitaji...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
hivi iphone ni simu yenye usalama(SECURTY) wakutosha pia imara sana kwa anaejua naomba atoe ufafanuzi
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Baada ya simu yangu kusumbua kwa mda kwa kuzima au kugoma kila nikiingia fb, nimegundua tatizo ni kua app ya fb sa hivi new android version yake imekua 5.1, kwa hiyo kwa simu nyingi zenye chini ya...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Nahitaji software developer anayejielewa na kujitambua ili nifanye nae kazi ya kudesign software ya task management
0 Reactions
3 Replies
860 Views
Je tatizo ni nini, na ikishaandika hivo siwezi kupiga na wala sipatikani ila internet natumia kama kawaida. Natumia tecno c9
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Back
Top Bottom