Msaada anayejua TV ya TCL

Albizo

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
284
208
naomba kujuzwa ubora wa hizi tv za tcl naskia ni kampuni moja na hitach. ni nzuri kwakuitumia na haina matatizo? ahsante
 
naomba kujuzwa ubora wa hizi tv za tcl naskia ni kampuni moja na hitach. ni nzuri kwakuitumia na haina matatizo? ahsante

Hazijafikia ubora wa Samsung wala lg TV ,, Graphics zake na display haina ubora kama wa Samsung au lg , ila Kwa matumizi ya kawaida ni Tv nzuri tu na gharama ni ndogo kidogo
 
Hazijafikia ubora wa Samsung wala lg TV ,, Graphics zake na display haina ubora kama wa Samsung au lg , ila Kwa matumizi ya kawaida ni Tv nzuri tu na gharama ni ndogo kidogo
mi pia naunga mkono hapa

sio level za kina samsung ila ni wachina wanaojitahidi, hivyo itategemea na bei unayonunulia. kama hio hela inanunua samsung au lg bi bora kuachana nayo ila kama bei ni rahisi sio mbaya.

sio kampuni moja na Hitachi hawa wanatengeneza simu za Alcatel na blackberry.
 
Kuna neno "kuteka soko" nahili ndo limefanya akina samsung, lg wafahamike sana. Jamani naomba mtembele maduka makubwa yanauza skrini, kuna skrini zenye ubora mkubwa wa HD, zinaonyesha vizuri kweli, sema hawa wengine hawajafahamika kweli nawambia
 
Kuna neno "kuteka soko" nahili ndo limefanya akina samsung, lg wafahamike sana. Jamani naomba mtembele maduka makubwa yanauza skrini, kuna skrini zenye ubora mkubwa wa HD, zinaonyesha vizuri kweli, sema hawa wengine hawajafahamika kweli nawambia
hapana mkuu si sababu ya umaarufu.

ukitaka best display sokoni mfano za oled itabidi ukanunue lg ukitaka amoled utaenda samsung ukitaka lcd utaenda sharp etc.

unaweza ukasikia brand xxx, brand yyy, brand zzz wana tv kali za oled ukafkiri wanatengeneza wao, kumbe si hivyo ni display za lg wanaenda kununua kwa lg na kutengeneza tv.

samsung na LG wana component nyingi sana za Tv wanatengeneza, hata hawa TCL wanajitahidi kwa level yao
 
Wanatengeneza TV nzuri sana na wana ubia na Hitachi trust me coz nimeshawahi kutumia hiyo tv yao iko poa sana na ina warrant ya mwaka mzima, sijui samsung, sony au LG wanauza kutokana na brand tu, nilikuwa na smart tv ya Sony hata mwaka haikuchukua ikafa lkn nilivyochukua hii TCL imedumu huu unaenda mwaka wa pili na bei ilikuwa ni nusu niliyonunulia Sony
 
Wanatengeneza TV nzuri sana na wana ubia na Hitachi trust me coz nimeshawahi kutumia hiyo tv yao iko poa sana na ina warrant ya mwaka mzima, sijui samsung, sony au LG wanauza kutokana na brand tu, nilikuwa na smart tv ya Sony hata mwaka haikuchukua ikafa lkn nilivyochukua hii TCL imedumu huu unaenda mwaka wa pili na bei ilikuwa ni nusu niliyonunulia Sony
TCL smart TV ni nzuri sana hao wengine wanauzia brand tu
 
naomba kujuzwa ubora wa hizi tv za tcl naskia ni kampuni moja na hitach. ni nzuri kwakuitumia na haina matatizo? ahsante
Inategemea na Model/ Toleo la TV ( LED,LCD, SMART TV ETC) hawana tofauti sana na STAR X. Ila wapo vizuri kuliko SINGSUNG na SANSAN
 
Back
Top Bottom