Hello,naombeni msaada ndugu zangu..king'amuzi cha startimes channels zimefutika..zmebak channel zao za matangazo pamoja na tv1 tu..nafanyaje kuzirudisha??nmeshafanya search lakini zinarudi hzo...
wakuu habari za wakati! naomba kupewa msaada nataka kulink account yangu ya CRDB na paypal sasa nimekwama kwenye routing number, debit card na bank account msaada wenu ni muhimu sana.
Nimeanza kusoma soma baadhi ya vitabu kuhusiana na hii kitu(Arduino) na nimekuwa interested kujifunza zaid ila nimepata changamoto kubwa mbili.
kwanza ni kuhusu vifaa sijui naweza vipata wapi kwa...
Habari za muda huu Wanajukwaa..
Nina simu moja Sumsung Grand Prime tatizo lake ni kwamba, imewekwa laini lkn inaandika "Emergency Call" na ukijarbu kupiga inasema "Nertwok not registered"...
After months of months of hard work I finally did it nimeweza reverse engineer cryptolocker.It was amazing hii experience all my years of programming ila cjawahi pata hii experience ya ku reverse...
->Je Programming Language ni nini ?
Kama hauna idea kuhusu maana halisi ya Programming Language basi ACHA usijifunze.
->Je nianze kujifunza Programming Language ipi ?
Hii inategemeana na wewe...
Hii flash sms ni kama zile sms tunazotumiwa na tigo baada ya kujiunga na kifurushi chochote.ukitumiwa huwa inakuja moja kwa moja imefunguka.
Nakumbuka enzi tunatumia nokia za kubonyeza keypad...
Habari ya kazi mafundi wana JF.
Samahani nilikua naomba msaada wa kuifungua simu aina ya Nokia N8. Ilijilock baada, ya kuweka memory kumbe kwa bahati mbaya ilikua na virus. Naomba mnisaidie nifanyeje
Natanguliza shukran zangu tafadhal wadau wa jukwaa hili naomben maelekezo jinsi ya kubadili au kurekebisha jina ninalotumia kweny google
Mfano natumia mandelaputin@gmail.com
Nataka nibadili iwe...
Niko dilemma kidogo hapa nataka kuongezea ka degree kangu ka ICT ila sioni kipya baada ya kufuatilia mitaala ya degree naona Ni yaleyale tu.
Kwa wadau mnisaidie kidogo maana nataka nishift...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.