kume kua na umuhimu mkubwa kutoa taarifa na elimu juu ya ku root android devices leo nimeona sio mbaya tushirikishane kile tukijuacho kuhusu rooting.KABLA YA KUANZA: KUROOT SIMU YAKO KUTA...
embu toa maoni yako kuusu hizi tv je ni nzuri? je katika matumiz azipat moto?je umeshatumia au iliwai kwenda kwenye kumbi za sinema ukatumia siku hiyo uliona utofauti gani.embu tujuzane na mm nijue
Habari zenu waungwana mimi shida yangu ni kwa mtu yeyote aliyewahi kutumia ARDUINO au kuwa na uelewa nayo katika kusoma na kuandika data kwenye hizi eproms za tv ,vcd,dvd nakadhalika kwani hicho...
Habarini za asubuhi wapendwa, kwa atakayeguswa naomba anijuze kama ana technique yoyote.
Kwa ufupi simu yangu (tecno tablet imeingia maji) inawaka na kuzima inaniumiza kichwa coz bado mpya na...
Habari wana JF leo ningependa kushare na nyie jinsi ya kutumia flash yako kama ufunguo wa kompyuta yako au password, Basi kwa kuanza basi ni vyema tukajua faida za kuwa na password katika flash...
Wakuu habari zenu...
Nina laptop yangu ya toshiba, ilikuwa na window 7 ila baada ya window 10 kutoka ikabidi niipige window 10....
Baada ya kuipiga window 10 ilikuwa inasumbua kuwaka kwaiyo...
habari za humu...naombeni msaada kwa mwwnye ufahamu wa kudowngrade window phone...some days ago nilidownload window device recovery tool nikafata taratibu zote ila mwishoni inaandika...
Habari wana JF,
Nimepata tatizo moja kwny simu yangu, Samsung Note II ghafla imepata tatizo la kutopokea sms, ukijaribu kutuma sms kwa mtu mwengine zinaenda bila tatizo, shida ni pale mimi...
Wakuu mimi natumia samsung S.3 .mini!! Tangu juzi imeanza tatizo yaani upande wa f.b (facebook) kama nikikuta comennt au nikigusa file lake cm inazima na kuwaka yemyewe na ikiwaka inaniandikia...
Jaman cm yangu inatabia ya kujirudia sms endapo nikiizima na kuiwasha,namaanisha sms ambazo tayari nimeshazisoma nikiwasha cm tu zinaingia as a new sms
Kuna mtu wangu wa karibu ana tatizo, Pc yake aina ya Tajwa hapo juu (Dell Icore3) ina tatizo katika switch yaan power button, haibonyezek kwwnda ndani wala haitoki kwa nje, imekuwa ngumu sana...
Habari wana board..
Nahitaji kutengeneza App, Je kuna online platform au software ambayo Naweza kutumia!??
Nahitaji iwe from Website to Mobile App.
Ahsante..
sim yangu ni tecno n2 sim 1 lazima iwe laini ya tigo...
sasa juzi nmeflash upya lakini bado inanilazimisha niweke laini ya tigo... naomben msaada wa mawazo nifanyeje ili niweze kuunlock network??
Habari wana JF leo ningependa kushare nanyi makala kutoka katika tovuti ya Tanzania Tech, Njia hii inaonekana kuwa bora na ya haraka kwa kila mtu mwenye kompyuta.
Kwa kuanza basi kumbuka ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.