Msaada: Kila nikiupload video clips za mechi za ulaya haikai inakua blocked

Malecela 4GB

Member
Sep 4, 2016
33
14
Naomba msaada wadau....
Kila nikiupload video clips za mechi za ulaya haikai muda inakua blocked worldwide.
Tatizo ni nini? Maana unakuta watu wengi wameweka video hiyohiyo lakini mimi nikizidownload alaf niziupload zinagoma?
Nifanye nini ili izo copyright claims niziepuke?
Natanguliza shukrani za dhati
 
Hautakiwi kuweka video ambazo hauna haki miliki yake au ruhusa kutoka kwa mwenye haki miliki. Account yako itafungwa ukiendelea kuziweka.
 
ukuu...huwa wanaiedit kwanza lakini mara nyingi ni risk sana kuingiza video zaenye mfumo wa copyright...mimi chanel yangu hadi leo imefungwa na sina uwezo wa kuifungua....
 
Hautakiwi kuweka video ambazo hauna haki miliki yake au ruhusa kutoka kwa mwenye haki miliki. Account yako itafungwa ukiendelea kuziweka.
Sasa huwa inakuaje unakuta video moja imepostiwa na channel tofauti lakini nikiiuplod mimi inablokiwa....
Kuedit unaedit vipi?
 
Hata hizo zilizoeditiwa when time comes zinafungiwa channels. Hakuna chezea copyright infrigment.. sema wengi ni wajanja hasa hasa wanaoweka za epl. Wanakuwa na back up channel just in case
 
Sasa huwa inakuaje unakuta video moja imepostiwa na channel tofauti lakini nikiiuplod mimi inablokiwa....
Kuedit unaedit vipi?
Mkuu account yako utakua ume monotize ndio sababu,youtube wako makini watakupa warning watafunga
 
Hata hizo zilizoeditiwa when time comes zinafungiwa channels. Hakuna chezea copyright infrigment.. sema wengi ni wajanja hasa hasa wanaoweka za epl. Wanakuwa na back up channel just in case
Backup channel ikoje na inasaidiaje ukiwa umeblockiwa account yako?
Naomba msaada apo.....
 
Backup channel ikoje na inasaidiaje ukiwa umeblockiwa account yako?
Naomba msaada apo.....
Lets say una channel unaoweka say discussions za epl..(pundits wanachoelezea) say toka skysports au espn au bbc sports..Hii kitu unakuwa haumiliki copyright yake mbali n kuwa na standard youtube license.. say umeipa jina la footballupdates1.

Unakuwa unajua kabisa kwamba in a long run, itafungwa bse of iyo kitu ya license.

So what you do ni unakuwa na channel ingine tofauti na ya kwanza (back up) say uipe jina l footballupdates 2, ambapo hautapost chochote kwa sasa.. sema subscribers wako watasubscribe kupitia maybe link ulowapa wewe mwenyewe since wanakuwa aware kwamba iuo footballupdates1 lifespan yake inahesabika.

So ikifungwa,ww utaendelea sasa kupost video zako kwene footballupdates2 kwa kuwa ile ilofungwa,subscribers wako watakuwa wanapewa ujumbe ufatao..
"This channel is nolonger available. Unsubscribe if you would want to remove it."
 
Lets say una channel unaoweka say discussions za epl..(pundits wanachoelezea) say toka skysports au espn au bbc sports..Hii kitu unakuwa haumiliki copyright yake mbali n kuwa na standard youtube license.. say umeipa jina la footballupdates1.

Unakuwa unajua kabisa kwamba in a long run, itafungwa bse of iyo kitu ya license.

So what you do ni unakuwa na channel ingine tofauti na ya kwanza (back up) say uipe jina l footballupdates 2, ambapo hautapost chochote kwa sasa.. sema subscribers wako watasubscribe kupitia maybe link ulowapa wewe mwenyewe since wanakuwa aware kwamba iuo footballupdates1 lifespan yake inahesabika.

So ikifungwa,ww utaendelea sasa kupost video zako kwene footballupdates2 kwa kuwa ile ilofungwa,subscribers wako watakuwa wanapewa ujumbe ufatao..
"This channel is nolonger available. Unsubscribe if you would want to remove it."
Daaaaaah....
Nimekuelewa mnoooo.....
Ila hapo kwenye STANDARD YOUTUBE LICENCE bado sijaipata vizuri na hao SUBSCRIBERS wanawezaje kujiunga na hiyo channel mpya au ndo baadhi nitawapoteza?
 
Back
Top Bottom