Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nina simu yangu huawei niliangusha Jana usiku, nimeamka asubuhi nzma, sasa hivi ghafla imejiweka mistari tatizo ni nin?na je itapona?
2 Reactions
36 Replies
8K Views
heshima kwenu wakuu!!! nimekwama mdogo wenu, naomba nisaidieni unlock code za huawei modem e303h-1yenye IMEI no 862565027553063 nawasilisha!
0 Reactions
0 Replies
810 Views
PRODUCT NAME : HP 250 G4 NOTEBOOK PC PROCESSOR : INTEL(R) CORE (TM) i3-5005U CPU @2.00GHz RAM : 8GB MEMORY : 1 TB Jamaa ananiambia hii laptop iko pouwa kwa games zote hata kama ni heavy,je ni...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Hiyo ni Tecno W4 imefanyiwa hardreset baada ya kuwaka inaleta kama inavyoonekana kwenye picha. Msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
2K Views
I know ihis might be old news to some but inorder to save my hard earned buck I considered the possibility of receiving the free channels accessible through the DSTV decoder... What was annoying...
1 Reactions
23 Replies
43K Views
Wakuu habarini .. nina tatizo juu ya hii simu ya samsung s4 t-mobile sgh-919 ambayo inaonesha kuwa ina support mfumo wa network wa lte yani 4g kama sijakosea..lakini hii simu 4g yake haiko active...
1 Reactions
4 Replies
921 Views
ungana na blogger mbalimbali kwa kudownload app ya tabasamu tz kutoka play store Tabasamu Tz - Android Apps on Google Play
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Wadau, Habarini za juma pili , msaada kile kidude cha kuingizia umeme mita hizi mpya toka juzi hakina network na umeme umeisha kwa yoyote mwenye kujua msaada jama
0 Reactions
17 Replies
3K Views
ndugu zangu wana JF kwa mtu anayefahamu site ya kudownload cracks hasa za antivirus anijulishe jamani nimekomaa nazo hii wiki ya pili sasa.. asanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu za jion. jmn kuna rafik ang anahitaji msaada juu ya hili..anatumia sim double line bt line moja akieka line ya airtel inakataa kufunguka. inatuambia tuingize SIM ME LOCK CODE so ni ipi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nisaidieni kurekebisha hii rangi irudi kawaida S5
0 Reactions
6 Replies
954 Views
Nokia hawatabiriki kabisa. Wameamua kutengeneza tena feature phone iitwayo Nokia 3310 ambayo ilijulikana kama "jeneza".Ni simu iliyouzwa sana wakati huo kuliko simu nyingine zote-simu milioni 126...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu simu hizo zimekuwa na matatizo ya kutokusoma line na bluetooth kutokufanya kazi pia. wateja wengi wameripoti matatizo hayo kwa wahusika na nia za...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Naomba msaada wa kurekebisha printer yangu ndogo nikiweka karatasikwenye tray inashindwa Kuvuta karatasi rejea error message niliyoambatanisha.
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Simu yangu ina support 2G only .sada kama kuna namna nawezq iflash network ikakamata 3G mnisaidie ujuzi huo nami nifurahie internet maana ss hata kuwatch youtube siwezi kabisa ,naombenj mnisaidie...
0 Reactions
2 Replies
649 Views
habari wakuu! Nimekuwa nkitumia tecno j 7 kwa muda mrefu na sikuwawi kupata aina yyte ya tatizo sasa mpaka nikaiuza.... Sasa saiv natumia tena tecno j7 ila tangu nitumie imekuwa ikijizma na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau naomba kufahamu kama kuna app ambayo inaweza kubust network kwa maana simu yako inakawaida ya kuwa low katika network,, pls naomba msaada wenu!!!
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika mitandao ya kijamii ambayo ni maarufu na inawatumiaji wenye mazungumzo mengi sana ni Twitter, lakini tatizo lake moja kubwa ni kwamba mtandao huu wa kijamii bado hautengenezi pesa za...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Samsung Z510, Z650, Z320i Power on without SIM card Type in **CODE# where CODE is the unlock code you received from XXXXXXXX Samsung Z105 and Z107 Power on with a non accepted SIM card Type...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Naombeni msaada wadau dvd rom haionekani kwenye laptop yangu aina ya dell
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom