Tecno boom j7 kujiwasha na kujizima yenyewe

Pit brown

Senior Member
Jun 30, 2015
132
64
habari wakuu! Nimekuwa nkitumia tecno j 7 kwa muda mrefu na sikuwawi kupata aina yyte ya tatizo sasa mpaka nikaiuza.... Sasa saiv natumia tena tecno j7 ila tangu nitumie imekuwa ikijizma na kujiwasha na imekuwa aikai na chaji tangu tatizo hilo la kujiwasha na kuzima
Sasa naomba msaada ni tatizo la betry au softy ware
d3e56f3b74f9fcff53f70b76f2c10b81.jpg
 
Mimi nilishawahi kuitumia ikawa Na tatzo kama hlo nkaenda kwa fundi akatoa injini akaweka nyengne Na haikufanya hvo tena
 
Back
Top Bottom