poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 456
- 175
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu simu hizo zimekuwa na matatizo ya kutokusoma line na bluetooth kutokufanya kazi pia. wateja wengi wameripoti matatizo hayo kwa wahusika na nia za kutatua tatizo hilo zinatafutwa pamoja na kutolewa ushauri wa awali.
Binafsi sijajua matatizo hayo yatapatiwa ufumbuzi au simu zitarudishwa Apple.
Binafsi sijajua matatizo hayo yatapatiwa ufumbuzi au simu zitarudishwa Apple.