Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Intro: Tuna web based software application yenye watumiaji wa aina tatu 1. Admin 2. Customers 3. Guest Customers wana proviledge ya ku create profile, contact, address, upload photo, n.k...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
I noticed that our country's official tourism portal is a direct copy of Newzealand's? check this out for yourself New Zealand Travel and New Zealand Business - The official website for New...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu nahitaji kujua jinsi ya kufungua/kuanzisha Internet Radio Kwa wenye kujua naomba waniambukize ujanja kwasababu sio ugonjwa Nawasilisha
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Jamaani mwenzenu had nakosa raha ninatumia samsung galaxy grand neo plus. Lakin hii simu muda wote inaniambia not enough space. Nikaamua kutafuta memory card original ya 32Gb ili kustore vitu...
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Imekua kero sana pale mtu anapopewa kazi ya kuchapa upya maneno ya kwenye kitabu ili yaprintiwe upya na hivyo kupoteza muda mwingi kutype/kuchapa upya kitu ambaco kilishaprintiwa, Mfano mzuri ni...
7 Reactions
17 Replies
5K Views
Naomba munisaidie kusolve hili tatizo jaman!! Simu yangu iphone 4 ina wake screen kila baada ya 15 seconds nikiwa nimelock screen vp shida nn na unafix vipi hili!!?
0 Reactions
5 Replies
781 Views
Simu yangu ni galaxy J1 ace nataka kuitoa KITKAT kwenda lollipop mwenye kujua anielekezee
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau kama nilivyosema hapo juu, naomba kwa wale wataalamu wanipe ushauri kati ya simu hizo, ipi ni bora zaidi katika performance, betry, nk. Bajeti yangu ni kununua simu mojawapo kati ya hizo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari ya muda huu kaka naomba kupata utaalamu wa mambo haya #ili kujua laptop au desktop nzuri unafanya nini au uangalie nini? Maana naangalia Mara watu wanakuambia *CPU *ROM *RAM *HARD DISK...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za usiku wa leo wanajukwaa? niende moja kwa moja kwenye hoja msingi. Ni kuwa nina simu tajwa hapo. nilifanya upgrade kutoka Windows 8.1 denim kwenda 10. Mwanzoni ilienda vizuri bila shida...
0 Reactions
7 Replies
981 Views
Chuo gani kizuri kwa Information Technology mkoan mbeya!?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, simu yangu imeanguka haijapasuka kioo ila kinaonyesha mstari mistari midogo midogo pia kimefifia, Je nafanyaje?? Naomba ushauri
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Habari za hapa jamvini wakuu, nahitaji kujua ni sehemu gani hapa dar naweza kupata Outdoor LED Screen ninunue kwa ajili ya kufanya Advertising, Kama kuna mwenye ujuzi na haya mambo naomba anigawie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa habari za majukumu ? Najitokeza kwenu kwa kuomba msaada wa software au link itakayonipa app ya kurecovery data zilizofutika kwenye SD CARD. Nimejaribu kudownload zote ni trial halafu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa anayejua anisaidie.....PC yangu imeanza gafla tatizo la kushindwa kuongeza brightness kwenye screen ...ukitaka kuongeza labda wakati computer inawaka b4 window haijawaka!!! Natumia window 8.1
0 Reactions
5 Replies
4K Views
yeyote mwenye link ya kudowload hiyo kitu anisaidie tafadhali
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana Jf.nina blackberry z3 sasa wame release new update kwenye version 10.2.........hadi 10.3......shida inakuja ninapotaka ku update software ambayo ina ukubwa wa 1,014Mb ambayo ni sawa na...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Salaam Kama mnavyojua ktk ulimwengu wa Internet, pindi unapotaka kujiunga na forum yyte lazima uji register na kufungua forum account. Sasa swali linakuja katika verification code wanakuuliza...
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Kabla ya kuanza inabidi kua na yafuatayo. 1) uelewa wa kompyuta hata kama ni kidogo. Huo huo unatosha 2) Memory card yenyewe iliocorrupt 3)windows computer. 4) Glasi ya maji au kajuisi...
4 Reactions
13 Replies
10K Views
ni siku ya nne ninajalibu kununua bidhaa online kama applications mbalimbali..lakin hii kad hainiruhusu kumaliza malipo ..na mara nying huniletea messg kua nimekosea kuandila card namba.wakat...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Back
Top Bottom