Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nili update simu yangu kwenda Marshmallow sasa nahitaji kuroot nimetumia kingroot lakini kila ikifika 30% inaandika root failed je nitumie njia gani version ya kingroot ni 4. 9. 0 ndo nilio kuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wanaopenda ku-download movie na vitu vingine vyenye MB kubwa wakati hawana uwezo wa kununua MB nyingi za kudownload movie hata 100, leo nimekuja na software ya kukuwezesha ku-download...
2 Reactions
93 Replies
10K Views
habari zenu wanajamvi, nina simu tecno T430 imepewa faili la youtube lakini haiwezi kustream video, kila ninapo click watch ina load alaf inaniandikia scheme doesn't support.. je shida ni nini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar zenu hapa samahan wakuu ningependa kufahamu kati ya computer inayorun kwa kutumia graphics card za AMD na computer inayotumia graphics card za NVIDIA ipi ni nzuri kwa performance???
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Wakuu nina huawei p7 os kitkat nataka mnisaidie iwe os 5.1.1 lollypop nashindwa wakuu
1 Reactions
1 Replies
835 Views
Habarini wadau. Kama wiki moja hivi simu yangu imekataa kabisa ku share internet kwenye computer. Nikienda kwenye setting kuna sehem ilikuwa inanipa option ya usb ili ni connect internet lakini...
1 Reactions
2 Replies
742 Views
Intro Tunatengeneza web application kwaajili ya ku track huduma ya tuition katika mkoa wa Arusha, n.k Tunatumia ASP.NET, Razor, MVC, EntityFramework, jQuery n.k Database Design Database hii...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Naomba kujua ni app ipi nzuri yenye kutumia internate ambayo naweza kuwasiliana vizuri na watu hapa Tanzania na nje ya Tanzania.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana jamvi..mm nilinunua katv haka ka 22" kwa ajili ya chumbani...nilikanunua mwezi wa 11 mwaka 2011ghafla mwaka 2012 julai kakagoma kuonyesha...bahati mbaya sina warrant...tatizo lake ni...
0 Reactions
21 Replies
12K Views
Habari wakuu? Mungu ni mwema anatupatia uzima na afya ya kutuwezesha kufanya yetu. Naomba msaada katika hili: Nimeanza kutumia whatsapp web ila nashindwa na sioni sehemu itakayoniwezesha kuset ili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni msaada jinsi ya kuflash tecno h6
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Ukikuta TV imeandikwa maneno inamaanisha nini ELED TV - DVBT2 DIGITAL TV
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna simu yangu naipenda kwa kweli ni Samsung galaxy ace gt5830i. Kila nikiweka memory card mpya nikipiga picture kama 15 na video 2 nikiongeza picture zinakuwa black zote. Nishaiweka memory...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Habari wana jf naomba mtu anisaidie jinsi ya kujiunga na snapchat na kusoma taarifa mbalimbali na kuona picha za marafiki, msaada tafadhali nimeidownload tayari nimeifungua hata picha nimeweka...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hellow guys.. inahitajika adsense account iliyo fully activated(yenye barua) inahitajika mapema sana..salio la mteja ni sh 45,000 aliye serious anicheki p.m mara moja... thanks
1 Reactions
5 Replies
854 Views
wadau naomba msaada wa kupata marshamallow na kujua jinsi ya kuiweka kwenye hii Samsung....sijawahi upgrade sim manualy so please naomba mnielekeze kama mwanafunzi sio kama mtu anaefahamu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada wakubwa nilipo install Bluestack kwenye computer niki open tu program neno hilo linatokea kuwa ms-win-core-errorhandling dil1-1-1 is missing please install first natumia window7 64Bit
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Mashine ya edf inaandika technical overview must be excuted jamaa anataka 100000 Ku solve issue ni bolsto mashineza prima.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jaman nina samsung yangu nimeiroot sasa nikitaka ku update software..inanambia PHONE HAVE BEEN MODIFIED NO UPDATES...nafanyaje kutoa root.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wale wataalamu wa blender software v2.71 nataka ku navigate sphere kuelekea kulia naitaji msaada .
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom