Msaada Lumia 535 Dual sim

Prince Nadheem

JF-Expert Member
Feb 25, 2012
1,253
1,028
Habari za usiku wa leo wanajukwaa? niende moja kwa moja kwenye hoja msingi. Ni kuwa nina simu tajwa hapo. nilifanya upgrade kutoka Windows 8.1 denim kwenda 10. Mwanzoni ilienda vizuri bila shida yeyote ile. Ila baadae imeanza kuleta notification ya ¨device is charging slowly, use charger that came with the phone¨
Chaja ninayotumia ni Original iliyokuja na simu katika box lake. shida inakuja simu inaenda hata masaa matano ndo chaja ijae. Nimefanya Windows Up to date ila bado naona shida iko pale pale, nkafanya hard reset kama mara mbili na baada ya hapo nika-update OS ila shida bado iko pale pale.
Msaada kwenu wadau.
Cc;@Chief Mkwawa, Sharobaro na wengineo nakaribisha maoni yenu
 
Hizo zim ndio zilivyo ukiupsate kwensa window 10 zinakuja na hizo stori. Nilikua nayo baada ya kuipeleka window 10 ikaja na hali kama hiyo kila charger inaikataa hata ya kwake orijino.

Nikadhani ni mimi tu ila pia kuna jamaa yangu anayo baada ya kuipeleka window 10 imemletea hadithi kama hizo. Nadhani hayo ndio matatizo yake. Window 10 nadhani bado ina shida ndogo ndogo kama hizo.
 
Ahsante CHIEF MKWAWA na lost id kwa michango yenu. Kwa sasa nimesubmit ishu kwa Contact and support na pia upande wa simu nime-deactivate hiyo notification, maana ilikuwa hadi inakera kila mara alert.
 
Hiyo simu utakuwa unachaji na chaja yenye matatizo au chaja yenye waya mrefu sana. Ninatumia hiyo simu na ina windows 10. Nikitumia chaja yake original inapiga fresh, ila nikitumia chaja nyingine yenye usb cable refu huwa inaleta hiyo notification
 
Hiyo simu utakuwa unachaji na chaja yenye matatizo au chaja yenye waya mrefu sana. Ninatumia hiyo simu na ina windows 10. Nikitumia chaja yake original inapiga fresh, ila nikitumia chaja nyingine yenye usb cable refu huwa inaleta hiyo notification
natumia original charger iliyokuja na simu mkuu ymollel
 
Back
Top Bottom