Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

mwenye ssd nafuta nicheki kwenye namba hii 0762655938
0 Reactions
0 Replies
672 Views
Heshima kwenu wakuu, Samahani naombeni msaada wenu namna ya ku update cm yangu ni BLACKBERRY 9800,kwani whtsapp inagoma inataka mpaka ni update cm,msaada wenu muhimu kwangu Ahsanteni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HABARI Naombeni msaada wenu ndugu zangu kuna project naifanya yenye title ""HUMAN VOICE CONTROLLED WHEELCHAIR FOR DISABLED PEOPLE "" project yangu inahusisha EasyVR module 3.0 (without the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata simu kwa bei poa kabisa Samsung Galaxy S3-350k S4-395k S5-496k S6-1.24m S6 edge - 1.55m S6 edge plus - 1.78m Samsung Galaxy Note 1-292k Note 2-393k Note 3-532k Note 4-750k Note...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Ninafanya setting za ppp over ethernet(pppoe) kweny d link router dsl 2540u nimekwama kwenye Ppp user name Ppp pasword Ppp service name Isp wangu ni ttcl msaada wenu wakuu
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana-JF, Kama kichwa cha habari kisemavyo. Nifuate utaratibu upi kwa ajili ya kutengeza website kama JAMIIFORUMS? Nawasilisha..
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wakuu samahani ninaomba msaada wa simu yangu SAMSUNG SGH-i997 au maarufu kwa jina la INFUSE 4G,niliitoa betri kurudishia ikawa imepoteza network na IMEI haisomi,ukiandika ile namba ya kuangalia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu. Natumia dell pp33l, imezimika ghafla. Naombeni msaada wenu
0 Reactions
5 Replies
880 Views
Kampuni ya Apple iliyobobea kwenye utengenezaji wa Vifaa vya mawasiliano kama Computer, Simu, speaker (beats by dree), Saa za mikononi (iWatch) imetoa Update katika operating system yake ambapo...
1 Reactions
0 Replies
892 Views
kwa wale walioshangaa facebook kutoa dola bilion 18 kununua whatsapp leo microsoft amezidisha zaidi kwa kutoa dola bilioni 26 kununua linkedin kwa haraka haraka ni zaidi ya trilioni 55 za...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Natumai wengi wenu ni wazima wa afya, nimekwama kidogo maalifa na uwelewa wa jinsi gani naweza kuongeza nafasi iliyo jaa katika pc yangu ninayoitumia. Local disc C imejaa na naitaji niiongezee...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wadau, Nimepata majanga baada ya computer yangu ku collapse na kunipotezea baadhi ya software, Naomba msaada wa link ambayo uki bofya inakuwezesha ku pakua (download) program ya adoble...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wadau kuna mtu anahitaji msaada hivyo naombeni mawazo yenu, "Nina blog ambayo ipo hewani ni mwaka wa nne huu ila ipo dormant nataka kuifanyia kazi kila siku kuanzia sasa, je kwa tanzania unaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu salama? Kuna mchina nafanya nae kazi ss alienda china akarud na hiyo simu inaitwa Huawei mate8,mm nataka ninunue hyo simu ila naiona km feki hv mana OS yake inaitwa YunOS na si android...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa. Natumai nyote mu wazima wa afya. Members wenzangu nimekuja kwenu kwa kutaka msaada juu ya vitu viwili. MOSI; Kuna member alieleza jinsi ya ku-download videos bure tthrough...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Simu yangu nikirecord video inatoa video zenye Size kubwa sanaa hadi nashangaa! Sasa Jana nimerecord video yangu ina MB 525 kwa dakika 3,hahitaji kupunguza sanaa hii size bila kupoteza quality ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nna laki 5,.nataka laptop itakayosukuma games kadhaa kama fifa,call of duty nk. Iwe used au mpya,mnanishauri nichukue yenye vigezo gani kulingana na iyo budget hapo. Hata kama kuna anaeuza...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Kwa wauzaji. Naitaji bei na sehemu inapouzwa.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nilifanya muamala kupitia paypal kwa kadi ya CRDB. Seller kanipa refund ya malipo baada ya biashara kushindikana. Naomba kujuzwa yafuatayo: Je, CRDB wanapokea malipo kutoka paypal? Natakiwa...
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Habari wakuu nasikia kuwa na nimeona kuwa kuna namna ya kuweza kufanya website yako ikasapoti adsense hata kama ina content za kiswahili, sasa sina uhakika unafanyaje je ni kwamba unakuwa unatuma...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…