Habari wakuu.
Kwa mara ya pili nimeweza ku flash smart phone aina ya huawei ambazo zilikuwa zina stuck kwenye logo.
Ilikuwa hivi:
Nilikuwa na simu aina ya huawei y330 ambayo ilikuwa ina...
Chombo cha anga - Space X CRS-9 ambacho kimebeba mizigo (cargo flight) kitatua kwenye chombo cha anga cha kimataifa - Internationa Space Station Jumatano, July 20 saa 5.30 ETD. Natumaini hizi ni...
Nina simu yangu huawei y300 ilikuwa inanisumbua sasa nikaamua kuifanyia Factory reset sasa baada ya kuifanyia factory reset nilivyo iwasha inawaka inaniambia welcome na language imeniwekea English...
Kuna ukweli wowote kuhusu ufanyaji kazi sahihi wa hizi applications za kusave power kwenye simu???? Kama zipo ni zipi kama kuna mtu anajua ufanyaji kazi wake
Jinsi ya kufufufa modem zilizokufa kwasababu ya kubadili firmware wakati wa kutaka kuifungua itumie mitandao yote vitu vinavyotakiwa kama vifuatavyo:-
1.drivers za huawei.
2.huawei repair modem...
Watumiaji wa simu wa Tecno wanaletewa habari njema, kama simu yako ina tatizo lolote tafadhali ingia katika forum maalumu ya TECNO Tanzania kwa link hii hapo chini
http://bbs.tecno-mobile.com/...
Wakuu PC yangu pindi ninapoiwasha screen ina blackout afu inatumia muda sana kuwaka...na pia nikiplay video after several minutes inastuck mpaka ni restart tena,, mwenye ufumbuz wa tatizo hili...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, naomba kupata msaada wa namna ntapata hiyo program tajwa hapo juu ambayo itaweza kunisadia katika mambo ya fuatayo:
* kujaza taarifa binafsi za kila...
Habari za mumda huu wapendwa wa Jamii Forums naombeni mnijuze gharama za vifurushi vya canal + sport manake nimeshindwa bei ya dstv ,NATANGULIZA SHUKRANI.
Just installed Administrator and MySQL query Browser. In order to begin use, I need to insert in Stored Connection and in Server Host. The documentation in section 3.2 shows 'localhost'. Should I...
Nilefuta picha bahati mbaya naombeni mnisaidie app nzuri ya kuback up picha zilizofutika kwenye SD CARD mwenye ujuzi anipe maana awali nilipata app ila ni trial.
Wakuu nimeweka modem brand ni Zain Huawei E1550 nime install fresh setup yake shida kila nikitaka kuconnect na internet inaandika The device has been disconn disconnected or unavailable sehemu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.