Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

The founder of the world’s largest torrent hosting website KickassTorrents is now behind the bars. The cause of his arrest are the legal purchases he made on Apple’s iTunes Store which helped the...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Wanajamvi wenzangu nisaidieni computa yangu ina RAM ya 2gb nimenunua RAM mpya leo ya 4gb ili jumla ziwe gb6. Nimepachika lakini inapiga alam tu. Nifanyeje? Ila nikiitoa nikaiacha ile peke yake ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kujua app ambayo inabadili mwandiko wa simu
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Wakuu nawasilimu sana na poleni na majukumu ya kila siku, Naombeni msaada jamani laptop yangu ipo slow sana sijui ni kwanini, haijapita wiki mbili nimetoka kuweka window mpya, antvirus mpya tena...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
NERO 8 + KEYS Dropbox - NERO_8_withKey.rar BIGASOFT TOTAL VIDEO CONVERTER Dropbox - bigasoft-total video.rar PDF CREATOR CONVERTER/PRINTER Dropbox - PDFCreator-1_3_2_setup.zip POWERISO 4.7...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Polen na kazi ndugu zangu,tafadhari naombeni Key for activating window8.bit32.build 9200
0 Reactions
7 Replies
973 Views
Nime format flash bahati mbaya kulikua na document.je naweza kuzipata tena kwenye ii flash
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salaam kwa wote, napenda kuuliza kama kuna mtu kwa hapa TANZANIA yuko interest na Data Structure & Algorithms Implementation in any language tuweze kushilikiana na kupeana mawazo njia na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
moderm yangu ya airtel E173u-1 wakati na unlock itumie laini zote cjui nimekosea nn baada ya hapo ikawa haisomi laini ya airtel na nyngn......naomba maelekezo please anayejua
0 Reactions
1 Replies
798 Views
imekufa Main Board, haiwezi kuchaji na hata ukichajia battery nje, ina OverHeat na battery inaisha ndani ya dakika 10. Sasa deal hapa niuze kama spare parts au uniuzie board nzima ya android 4.2...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau nimekwama simu tajwa hapo juu inazima na kuwaka muda wote, nahisi ni tatizo la OS yake imeingia virus. Yeyote ambaye anaweza kusaidia kwa namna yoyote nahitaji msaada wake ili simu ifanye kazi.
0 Reactions
1 Replies
868 Views
wanajamvi nawasalimu,naomba kuondolewa utata juu ya hii kitu,hivi qsat q23g unaweza tumia kotekote yaani kama fta receiver au kwa mambo yetu tuuu.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari wana JF. Ukitaka kuwa WAKALA wa ving'amuzi (Dstv,Azam n.k) Unahitaji kuwa na hela ngapi? Na utaanzaje kujisajiri? @Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari dada angu ana simu yake ya tecno y3 ambayo ni rooted,lakin siku ya jumatatu aliirestore baada ya kuwaka kila akifungua data kwenye display kwa chini inaleta neno EXIST
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Salami wakuu... Poleni kazi,ebana ninasimu hapa H6 mpya tu,nilimpatia ndugu yangu aitumie lakini ameitumia siku yakwanza kwa kupiga picha ilikuwa vizuri tu,lakini siku iliyofuata alijaribu kupiga...
0 Reactions
2 Replies
679 Views
Kwenu wataalamu wetu fanyieni kazi hilo jamii TV sijajua kama ni Mimi tu au ni wote,tatizo linalonikuta Mimi ni pale TV inapo kuwa ipo offline yaani kuna errors zinajitokeza yaani hata button ya...
0 Reactions
2 Replies
712 Views
jamani kila wakati website zinasimama na kuganda halafu inakuja hio message kuwa shockwave may be busy.. sijajua namna ya kurekebisha. Msaada wenu hapa wakuu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari wadau wa JF. kama kuna mdau anajua mahali penye fundi bingwa wa smartphone hapa Dar anipe mawasiliano au anielekeze sehemu kuna simu zangu zime hard brick. Nawasilisha
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Nimesahau password la laptop yangu eti nifanyaje kui fungua ...msaada plz
0 Reactions
0 Replies
626 Views
Msaada wanajamvi. Nimenunua phone, usb hdmi cable ambayo nilifikiri nikiunganisha na phine yangu ya tecno camon c8 itasoma kwenye tv. Kwa yyte mwenye ujuzi wa namna ya kuunganisha phone na tv...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Back
Top Bottom