Habari zenu, nilikua na Samsung s3 ilikua na radio lakini niliiuza nikanunua tena Samsung s3 lakini haina radio naomba kuuliza hii imekaaje na pia nikitaka kupakua radio mtandaoni zipo zisitumia...
Wakuu, nina dish la azam hapa. Ila sijui kama nimelikoroga wapi.
Intersity ni 61% na quality ni 60%, ila inascrach sana na nikiongeza sauti ndo inazidi kukatika(scraching).
Wakuu tatizo ni...
Kwa mwenye uelewa wa hizi flat screen mbili,
"Star x na hisense"
Yaani kichwa kimegoma kabisa naomba msaada wa maelezo yatakayonishawishi kununua moja ya brand hizo tajwa. Mfuko wangu uko na...
Habar wana teknolojia naomba msaada jamani computer yangu aina ya dell inspiron inagoma kuwaka(Hai display chochote) bali inatoa mlio tu wa kama beep kama mara mbilimbili hivi...
Jamani, nina external drive nikiiconect kwenye laptop inawaka lakini haioneshi icon kwenye my computer. Kuna data ambazo nahitaji kuzifanyia kazi .. nifanyeje ndugu zangu?
Ili kunjoy running of any OS, Kuijua na kua na uwezo wa kucheza nayo ni moja ya jambo muhim.
Ifuatayo ni makala fupi juu ya tricks 10 za kurahisisha matumizi yako ya android software
=======
Top...
habarini wakuu.
naomba mwenye ufahamu wa hii 'SIM - network unlock code' kwa mtandao wa vodafone (uk) anisaidie. nimeletewa simu toka uk lakini unapoweka sim card inaandika maneno hayo hapo juu...
Naona jamaa wame update packages zao
Tsh 1500 unapata 18GB kwa siku mbili(usiku tu)
Tsh 500 unapata 1.2GB Kwa usiku mmoja tu.
# ofa hii ni kuanzia saa tano...
Nimepoteza leo hii asubuhi, ni Apple. Nina imei no yake, password ya kufungua na gmail a'/c yake. Lakini nilikuwa bado sijajiunga na icloud.
Naomba msaada toka kwa mwenye kujua namna ya kuipata
Wakuu nakumbuka kama, kuna mtu alishawahi kupost jinsi ya kuchakachua hizi modem za Huawei e303 hiLink ambazo hazina dashbord ile inayotumika ku connect kama ilivyo kweny E173 na ZTE au modem...
Tu wazima members wa JF.
Hii 'DEEP WEB' inanikanganya.
Mwenye uelewa na hii 'Deep Web" karibuni kwa ufafanuzi zaidi.
#DEEP WEB NI NINI?
MNAKARIBISHWA MICHANGO YENU.
WhatsApp To Terminate Support for
Blackberry, Windows and Symbian
Devices
Whats App has announced that
it will terminate support for
BlackBerry, Nokia S40, Nokia
Symbian S60, Android 2.1 and...
Wadau ninataka kudowload application kwa ajili ya simu yangu lakini kila nikianza ku dowload inauliza ya kuwa itakuwa in access picha,call na SD yangu.Imekaaje hii?
WARNING: YOU`RE FOLLOWING THIS GUIDE AT YOUR OWN RISK!... I DO NOT HOLD ANY RESPONSIBILITIES IF YOUR MODEM TURNS OUT DEAD!...
So, kitu cha kwanza kabisa kufanya ni kwenda kwenye link hapa na u...
Jarida liitwalo MIT Technology Review iliyojikita na uchambuzi ya masuala ya elimu ya kiteknolojia imeorodhesha listi ya makampuni bora 50 yanayofanya vizuri duniani kwa mwaka 2016. Uchambuzi huu...
Jamani naombeni msaada
Niliibiwa simu ila mazingira yalikuwa hivi. Nilimpa mdada lift kwenye pikipiki alivyoshuka kuja kucheki simu haipo. Sasa namba yake nilikuwa tokea siku nimpe lifti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.