Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nina iphone 5 lakini sijui passwrd yake sasa hilo najua tayari ni tatizo tosha na hakuna ujanja wa kuuza kama Spare sasa nataka niuze kama spare!!! Nitauza kwa sh ngapi jamani au mwenye kuhitaji...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Vehicle Diagnostics Machine For Sale Mwanza 694762 |694762
0 Reactions
1 Replies
761 Views
Habari zenu wana JF naomba kwa anaejua, anisaidie jinsi ya kublock incoming call & sms kwa simu ya tekno C5 anielekeze..
1 Reactions
19 Replies
2K Views
ACCESS DENIED.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Jamani nashindwa kuunganisha laptop yangu na WiFi ya simu yangu Samsung J7. Tafadhali naombeni mnisaidie. Computer yangu ni aina ya Acer Aspire R 11. Na imekuwa installed window 10
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nilikuw naomba msaada wa ku-unlock modem ya 4g na router 4g (tigo) e5373 - router 4g e3372h - 153 - modem 4g
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Channel Ten has it all - Entertainment, Educational and also Children's programmes. Also local and International news sport and local and foreign musil shows. Hii Station ya 3 ya Kitanzania ktk...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Naomba msaada wenu,Je ninaweza kutumia licence ya Window Server 2012 R2 ku licence Window Server 2008 R2?
0 Reactions
2 Replies
875 Views
habari wana Jamii forum.... hapa nafikiri ni sehemu husika na naweza kupata japo mwanga,inshu yangu ni kwamba nitawezaje kudownload video ambayo naiwatch online yaani haina option ya kudownload...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nani mbabe?! Nacheka tu hapa! Hahahahaha!
1 Reactions
3 Replies
948 Views
Wakuu kwa jina naitwa Felix ama JF name ni liljustine. Kwa muda sasa nimekua nikijifunza the use of Photoshop (ie photo manipulation) kupitia you tube sources na books. Sasa ugumu nlikua napata...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu habari za week end,ninahitaji kuwa na blog yenye muonekano mzuri ila ninahitaji mtu anifundishe ili kama inawezekana nitengeneze mwenyewe hiyo blog kwa kutumia mafundisho ya huyo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi? naomba nitumie hili jukwaa kuweka huu uzi kwa ajili ya kujua simu nzuri a.k.a smartphones na bei zake pamoja na uzuri wake kwa maana ni kipi kimekufanya uipende...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wadau wa JF nani anautaalamu wa kuanzisha website. Na gharama zake ni kama shillingi ngapi hadi ikamilike?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama unatumia TECNO CAMON C8 na unataka ku-update simu yako kuanza kutumia MARSHMALLOW (android 6.0) , usiachwe nyuma hatua ni rahisi za kufanya ili simu yako iwe na android ya kijanja zaidi kwa...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
A sound theory about why Apple’s intention to kill the headphone jack is brilliant By Chris Smith on Jan 13, 2016 at 11:43 AM Mobile Share This Story Tweet Like Share Submit Shop ▾ Image...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimejichanga kufikia Tshs. 600, 000/-. Naomba kujua uzuri wa samsung j7 kwenye memory, battery na camera na durability, au kama kuna samsung aina nyingine yenye kiwango na nzuri...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Target Group: People worldwide born between 1986 and 1993 Deadline for submission: 15 October 2016, by 00:00 CET (GMT+1) UNIDO’s 50th Anniversary Research Paper Competition is open to young...
0 Reactions
1 Replies
555 Views
Simu ya kisasa ya Samsung Galaxy S7 inayopigiwa upatu kuwa na uwezo wa kustahimili kuwa chini ya maji imefeli majaribio ya shirika la moja la kutathmini ubora wa bidhaa za kielektroniki. Programu...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Jaman nini kipya humo kwenye C9 maana hawa tecno mmmmh, si mda wataleta c10
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom