MUHIMU SOMENI YOTE WAPENDWA............MANENO MENGI YANATIA UVIVU BUT ''U WILL GRASP SOMETHING OUT FROM IT''
I agree with Dan Allendar when he says that, Sex is volatile and it was meant...
awe anajishughulisha,i.e. Biashara au kazi... Asiwe muongo,sichagui dini,kabila,rangi,wala utaifa,, awe tayari kupima..... Me ni muajiriwa.... Nakaribisha maombi...
Wakuu wa jf,mimi ni mwanaume miaka 30,niko masomoni nje ya nchi nategemea kurudi Tz by june this year ,natafuta msichana ili tuanze mawasiliano saizi ili nikifika tumalizie tu taratibu za...
Mimi ni mwanaume wa miaka 30. Ni mrefu
kiasi cha 5' 9'. Nina umbo la kispoti. Nina
elimu ya graduate. Nina busara na nimeokoka.
Ni mwaminifu. Natafuta mchumba wa
kumwoa mwenye sifa mzuri...
Wadau, ukiacha maswala ya kuajiriwa mimi pia ni mwanafunzi wa chuo hivyo hua nabebaga madaftari, vitabu, past papers, notisi na makaratasi mengine kibao tu siti ya nyuma kwenye gari. Last time...
Ukiachana na mpz wako,not kwa mabaya,may be kampa mtoto wa watu mimba,na kalazimika kuoa,au anakuwa na gal mwingine,hivyo mnatengana.Pindi unapomsalimia,utamwita nani?,huyu xboy wangu...
Sitanii hata kidogo, nipo serious nahitaji mchumba.
awe mrembo/mzuri wa sura umbo tabia.
asiwe na zaidi ya miaka 28.
awe anajua kusoma na kuandika.
mrefu mweupe au maji ya kunde.
asiwe amewahi...
Hodi humu ndani! Salamu wote wana Jamii Forum. Nianaomba msaada jamani.
MM nina Boyfriend wangu tumedumu kwa mwaka mmoja, tunapendana sana, na anaonyesha jitihada za kuwa na mm kama mke na mume...
There are three (3) types of women according to men's perspective.
1. HOUSEWIFE'S
Advantages
* She stays home and takes care of kids and household chores.
* She is always good in bed...
Msaada wana jamvi,mara nyingi kwa watumishi wa kike inakua rahisi kuhama kamfuta mume wake,kama wapo mbali kikazi.Je kama mume anataka kuhama amfuate mke wake je hizo taratibu zinasemaje??Naomba...
waswahili husema majuto ni mjukuu...hili ni kweli kabisa.......
utafiti wangu umebaini yafuatayo:-
1) Mapenzi hayana subira................ukishikwa shikamana.............kwa sababu chelea...
Unapimaje kuwa mwenzio anakupenda?
a) tabasamu lake
b) kicheko chake?
c)kauli zake motomoto?
d) mapochopocho yake kwako?
Hivi unapimaje penzi na kujua huyu mtu kweli anakupenda na wala siyo...
Una mpango wa kuoa/kuolewa?
Kama jibu ni HAPANA . . kwanini?
Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka/mdada utashawishika/penda kuingia ndoani?
Na ni MASHARTI...
Jamani m a girl n nina mpenzi na ninampenda sana but hanijali kiukweli mimi ndiye ninayemcal kila cku wakati nasoma,kama mnavyojua hali ya uanafunzi na yeye amepata temporary work ya civil...
Wanawake wasomi na ambao ni wa kawaida yani walioishia la saba tu,na ukilinganisha na wenye elimu za juu,ni wpi weny mapenzi ya dhati na waaminifu zaidi
Mimi ni kijana wa miaka 27. katika michakato ya kimaisha nilijiwekea utaratibu kua sitaoa mwanamke ambae ana mtoto kwa sabaabu zangu mwenyewe tu (sio logic sana).
Mwaka 2009 nilikutana na msichana...
Nimegundua kuwa wana mmu wengi hasa wanawake hawako kwenye ndoa.
Ukiangalia michango yao wengi hulialia na wakati mwingine huwa na hasira sana kiasi kwamba inaonesha kuwa wamekuwa watu wa kuachwa...
nilihitaji girl friend but nlisahau kuweka criterias(vigezo).vigezo ni viwili 2.navyo ni age iwe less than 24 yrs old, pili ni busara,hekima na utashi.contact ni ile ile 0782050530
hakuna kitu kinauma kama kujua mkeo ana uhusiano na mwanaume mwingine na she is in a serious relationship.nimefukuzwa kwenye nyumba ya kupanga na baba mwenye nyumba baada ya kujua mama mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.