Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

MUHIMU SOMENI YOTE WAPENDWA............MANENO MENGI YANATIA UVIVU BUT ''U WILL GRASP SOMETHING OUT FROM IT'' I agree with Dan Allendar when he says that, “Sex is volatile and it was meant...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
awe anajishughulisha,i.e. Biashara au kazi... Asiwe muongo,sichagui dini,kabila,rangi,wala utaifa,, awe tayari kupima..... Me ni muajiriwa.... Nakaribisha maombi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu wa jf,mimi ni mwanaume miaka 30,niko masomoni nje ya nchi nategemea kurudi Tz by june this year ,natafuta msichana ili tuanze mawasiliano saizi ili nikifika tumalizie tu taratibu za...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 30. Ni mrefu kiasi cha 5' 9'. Nina umbo la kispoti. Nina elimu ya graduate. Nina busara na nimeokoka. Ni mwaminifu. Natafuta mchumba wa kumwoa mwenye sifa mzuri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, ukiacha maswala ya kuajiriwa mimi pia ni mwanafunzi wa chuo hivyo hua nabebaga madaftari, vitabu, past papers, notisi na makaratasi mengine kibao tu siti ya nyuma kwenye gari. Last time...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
Ukiachana na mpz wako,not kwa mabaya,may be kampa mtoto wa watu mimba,na kalazimika kuoa,au anakuwa na gal mwingine,hivyo mnatengana.Pindi unapomsalimia,utamwita nani?,huyu xboy wangu...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Sitanii hata kidogo, nipo serious nahitaji mchumba. awe mrembo/mzuri wa sura umbo tabia. asiwe na zaidi ya miaka 28. awe anajua kusoma na kuandika. mrefu mweupe au maji ya kunde. asiwe amewahi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hodi humu ndani! Salamu wote wana Jamii Forum. Nianaomba msaada jamani. MM nina Boyfriend wangu tumedumu kwa mwaka mmoja, tunapendana sana, na anaonyesha jitihada za kuwa na mm kama mke na mume...
0 Reactions
76 Replies
8K Views
There are three (3) types of women according to men's perspective. 1. HOUSEWIFE'S Advantages * She stays home and takes care of kids and household chores. * She is always good in bed...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Msaada wana jamvi,mara nyingi kwa watumishi wa kike inakua rahisi kuhama kamfuta mume wake,kama wapo mbali kikazi.Je kama mume anataka kuhama amfuate mke wake je hizo taratibu zinasemaje??Naomba...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
waswahili husema majuto ni mjukuu...hili ni kweli kabisa....... utafiti wangu umebaini yafuatayo:- 1) Mapenzi hayana subira................ukishikwa shikamana.............kwa sababu chelea...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Unapimaje kuwa mwenzio anakupenda? a) tabasamu lake b) kicheko chake? c)kauli zake motomoto? d) mapochopocho yake kwako? Hivi unapimaje penzi na kujua huyu mtu kweli anakupenda na wala siyo...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Una mpango wa kuoa/kuolewa? Kama jibu ni HAPANA . . kwanini? Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka/mdada utashawishika/penda kuingia ndoani? Na ni MASHARTI...
5 Reactions
176 Replies
11K Views
Touch her heart,not her body. Steal her attention,not her virginity. Make her laugh,don't waste her tears!!
1 Reactions
83 Replies
6K Views
Jamani m a girl n nina mpenzi na ninampenda sana but hanijali kiukweli mimi ndiye ninayemcal kila cku wakati nasoma,kama mnavyojua hali ya uanafunzi na yeye amepata temporary work ya civil...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanawake wasomi na ambao ni wa kawaida yani walioishia la saba tu,na ukilinganisha na wenye elimu za juu,ni wpi weny mapenzi ya dhati na waaminifu zaidi
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa miaka 27. katika michakato ya kimaisha nilijiwekea utaratibu kua sitaoa mwanamke ambae ana mtoto kwa sabaabu zangu mwenyewe tu (sio logic sana). Mwaka 2009 nilikutana na msichana...
1 Reactions
55 Replies
5K Views
Nimegundua kuwa wana mmu wengi hasa wanawake hawako kwenye ndoa. Ukiangalia michango yao wengi hulialia na wakati mwingine huwa na hasira sana kiasi kwamba inaonesha kuwa wamekuwa watu wa kuachwa...
3 Reactions
88 Replies
6K Views
nilihitaji girl friend but nlisahau kuweka criterias(vigezo).vigezo ni viwili 2.navyo ni age iwe less than 24 yrs old, pili ni busara,hekima na utashi.contact ni ile ile 0782050530
0 Reactions
18 Replies
2K Views
hakuna kitu kinauma kama kujua mkeo ana uhusiano na mwanaume mwingine na she is in a serious relationship.nimefukuzwa kwenye nyumba ya kupanga na baba mwenye nyumba baada ya kujua mama mwenye...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom