...nauliza hivi;
Pamoja na miongozo ya kidini (kwa wenye imani zao), inapendeza mjane aolewe baada ya muda gani?(mfano; mara tu baada ya kumaliza eda ya kufiwa?). Ungependelea mwenza wako...
...unajua,
kuna wanawake wengine hawana jema wajameni. Mwanaume 8am-5pm ulikuwa unaumizana kichwa na mabosi huko kazini, badala ya kupata farijiko la akili ukirudi nyumbani ndio kwanza unakutana...
Nimekuwa nikiangalia tofauti kati ya wanaume wa kizungu na wa kibongo the way wanavyo wa treat ,care wake ,wachumba au wapenzi wao ktk kipindi chote cha kulea ujauzito...
Kwanza anafeel kama hiyo...
Hi! Wakuu,
Tatizo la kupiga chabo linazidi kushika hatamu siku hadi siku, imefikia pointi sasa hadi wapiga chabo wanazamini pambano kwa mfano uliotolewa na clouds FM kwenye kipindi cha Power...
Wakuu naomba niwasilishe hoja hii!
kuna hoja nyingi zimekuwa zikipita humu ndani kuwa kipindi hich karibia asimia nyingi ya wanandoa au wapenzi wawe wa kike au kiume wamekuwa wakitendembea nje ya...
Ladies, Here are 2 Questions for you! You may answer all or just pick whichever you want to answer. I got them from one of my friend!
1. Youve been dating a guy for a month and hes amazing...
Oh god you slut stop being so obssesed with me....if youcan't deal with the fact then chukua kamba jinyonge or kunywa vyupa......uuuuuuuugh!...sick and tired huonjeshiw sasa unataka kuchonga...
I don't know whether it has happened to you before but some people seem to be just dating people from a particular tribe.I have a friend who was always dating Masai girls and it went on like this...
Marafiki zangu, hakuna jambo baya katika uhusiano kama kutokuitambua nafasi yako. Hapa namaanisha kwamba, upo na mwenzi wako ambaye ana dalili zote za nje zinazoonyesha kwamba anakupenda, lakini...
Wandugu naomba nianze kwa kuhadithia kastory kadogo!!
jana katika pitapita yangu kituo cha polisi nilikutana na mkasa huu ambao amam mwenye nyumba alikuwa amekuja kuuwasilisha kituoni.Mkasa...
The dating scene is interesting,many brothers and sisters have certain requirements that a partner or a date is required to meet.
Is formal education or the level of formal education such a big...
Hivi kwanini nyinyi wanaume mnaona kuwa ni sawa nyinyi kuchepuka nje ya ndoa na mngependa wake zenu wawasamehe kama ikikotea limebumburuka, ila mnakuwa wagumu sana kusamehe ikitokea my waifu wenu...
Jamaa mmoja ni mwanafunzi wa chuo cha TIA mwaka wa tatu kwa sasa yupo field mkoani morogoro,aliamua kwenda kufanyia field mkoa huo ili awe karibu na du wake ambaye anasoma SUA. Binti naye...
I happen to have developed an addiction for paying sex.The sheer excitement of going into a bar and choosing a lady of my liking a plump,slim, tall,short,dark or light and after a few words maybe...
22nd October 2009
Mama mmoja mjamzito aliyetambuka kwa jina la Shida Madoki ameuawa na mumewe Gamaliel Mtonyele, 27 kutokana na kile kilichobainika mahakamani kuwa ni wivu wa...
"Kwako Mpendwa baba/mama ushauri,
Pole kwa majukumu ya ujenzi wa taifa.Naomba ushauri kuhusu haya yafuatayo.Niko katika uhusiano imara kwa muda sasa.Sote hatujapanga kuoana ila tunapendana...
Wadau wa JF mimi ndugu yenu nina katatizo kidogo kwenye mahusiano na binti mmoja anasoma mzumbe university. Huyu mtoto ni mkali kweli kweli, lakini tatizo lake anaomba sana pesa, voucher na...
Akina dada,mama, shangazi na bibi najua wote mna viburudisho vya kurusha navyo roho katika tunda la mema na mabaya....na mnavipenda kweli kweli maana mnasaidiana kwa kila kitu hata kungonoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.