kama mapenzi yameisha yameisha tu hata upandike picha ulimwengu mzima utakuwa unaangaika tu
FLkama mapenzi yameisha yameisha tu hata upandike picha ulimwengu mzima utakuwa unaangaika tu
FL
Ukiona hivyo..ujue hakuna mapenzi ni kukomoana tu...huyo mama kachoka na huyo bwana.
Hujasikia kuna watu "kutoa talaka" hawatoi na kukutaka hawakutaki.
Angekuwa anampenda asingemwaibisha kwa kumtoa kwenye gazeti hivyo..wanawake wanavyojua kuwalinda waume zao ni balaa..
Umejuaje? ungemalizia na wanawake wanaojali...kwa kweli am happy for that...najihisi nina ulinzi wa kufa mtu hapa nilipo...
Wanawake wa kikikenya wanakaba hadi penalt duh?..