mimi ni kijana nimeshamaliza university na ninafanya kazi ktk benki mojawapo hapa dar.nimetokea kumpenda binti ambaye mpaka sasa anasome chuo.To be honest siku nilipomwona "i thought i meet with...
Mambo vipi wana JF.
Naombeni ushauri wenu nilikuwa na demu wangu ambaye tulipendana sana ila siku moja ilitokea missunderstanding kati yangu na yeye ambayo ilisababisha mawasiliano baina yetu...
...jamani hichi kivazi kinachoitwa 'leggings' mimi siafikiani nacho jamani, mnnnh....
nini maoni yenu, maana ishakuwa kivazi cha kawaida sasa hata kama 'camel toe' inaonekana waziwazi...
Hii kwangu ilikaa vibaya. Mwanzoni nilidhani masihara mpaka niliposhuhudia makonde na chupa zikirushwa. Kisa? bar maid.
Ni kwamba kuna ka baameid kamoja ka kimbulu kameleta zahma kwenye bar...
http://newsforums.bbc.co.uk/nol/thread.jspa?forumID=7107&edition=2&ttl=20091019143410
How young is too young to marry?
Girls in some communities in South Africa and Kenya are getting married...
Hamjambo wana JF . Naomba ushauri wenu katika hili suala.
Mimi nimeishi na mdogo wangu wa kike mtoto wa mama mdogo. Baada ya kumaliza Form IV alikuja Dar kwanngu na kuanza shule ya mambo ya...
Nilikuwa nasikiliza Radio Maria jana usiku mida ya saa mbili hivi ya usiku,
kama kawaida leo kulikuwa na kisa kingine, acha bwana duniani kuna mambo.
Kisa chenyewe ni hichi,
Nilikutia kati...
habari za jioni wana blog ya jamii, nipo hapa kuomba msaada kuna kitu kina nisumbua mimi niko na demu ambaye ni mchumba wangu ila tatizo ni kwamba tukiwa kwenye tendo lile la baba na mama (tendo...
Jamani naomba mawazo na michango yenu kuhusu suala zima la picha za Pornoghraphy. Katika kukutana na watu mbalimbali nimekutana na wale wanaozipinga picha hizi kuwa hazifai na wengine wanasema ni...
Jalia Unamuhudumia kila anachokitaka kutoka A to Z ikatokea siku moja ukagunduwa kuna mtu anachovya asali uitunzayo ,katika kukabiliana nae mpenzi wako ili ujuwe ni kitu gani kilichomfanya...
Siku moja katika blog fulani kulikuwa na mjadala mkali sana kuwa dada zetu wa kibongo (walioko mtoni/majuu) wanajiachia sana kwa watu wa afrika Magharibi ambao (wawest) huja kuwatosa vibaya sana...
Wanaume ni mwanamke gani mnayemtaka na awe na sifa gani ili muweze kutulia katika mahusiano yenu ??mnahangaika sana ukiona mrembo kakatiza huishi kugeuza shingo
1. Umbo zuri namba 8 macho ya...
Amekua muda mrefu akihisi mke wake anamuibia kwa kutembea nje yandoa. Akaamua aandae safari feki na kurudi ghafla bila mkewe kutarajia. Akarudi na Taxi usiku wa manane na aliamua dreva Taxi...
kila siku huwa najiuliza....mbona siku hizi watu hawachungi dada zao?????
yaani sisikii wala kuona watu wakichunga dada zao,,,,,,
na mara nyingi imenitokea nakutana na wasichana mbalimbali
ambao...
Ni kisa kilichoniacha mdomo wazi wenzangu ...hivi unaweza penda mpaka ukafikia hatua ya kuua ..??
katika hali ya kutatanisha mama mmoja inasadikika alimuua mmewe mwenye takribani miaka 42 na yeye...
Tunatofautiana muda!
Wanaume wengi huamini kwamba jinsi wao walivyo tayari kwa tendo la ndoa na jinsi wanavyohitaji tendo la ndoa basi na mwanamke naye yupo hivyo.
Kama tulivyoangalia huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.