Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Mchumba asiye mwaminifu huwa mwenye ndoa asiyemwaminifu! Swali: Habari za kazi kaka naomba nisaidie naangamia kwa kuwa na mawazo yasiyo na msingi na kuumiza afya yangu, kweli nateseka mno...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nielewesheni waungwana mathalani uko mbali Arusha mala ghafla bin vuu unaibukia kiwanja cha mwenzi wako DSM ,Mbeya ,Kigoma whatever kumfanyia suprise inapendeza katika kuimarisha penzi ?? Quote"...
0 Reactions
118 Replies
11K Views
Jamani wana JF naomba mnisaidie kwenye hili, kuna mchumba wangu jana kanipigia simu na kunifahamisha matokeo yake ya kidato cha 6 kuwa amepata I point 9. sasa nilimwambia akipata hiyo nitampa...
0 Reactions
85 Replies
9K Views
Bulgarian girl, 11, gives birth to her daughter... on her wedding day Last updated at 9:38 PM on 02nd November 2009 An 11-year-old girl became one of the world's youngest mothers -...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Poll Poll
...pamoja na ujanja wote anaoujua mwanaume, Mwanamke ni zaidi linapokuja suala la 'kuzidiana akili'...kwenye maisha ya urafiki, mapenzi na ndoa. Unakubali au unakataa msemo huu? Kivipi? Jadili...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa wale walio miss kikao cha jana msiwe na kinyongo wapwa wana andaa get tugedha ingine tunawakaribishana wana jamvi mnaweza kuwasiliana na ZD,Nguli , Chrspin, Carmel, Geoff, Yo Yo hata mm...
0 Reactions
431 Replies
29K Views
The wife came home from work early and found her husband in their bedroom making love to a very attractive young woman. Understandably, she was somewhat upset. "You are a disrespectful pig!" she...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A debate has been raging this past week in the UK, about the role of men in the delivery room during childbirth. Some obstetricians suggest that men should be kept well away from delivery rooms as...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Leo ninataka kuileta mada ya jinsi wanawake huwa wanakuwa madiva wanapopewa cheo kazini ama kukuwa celeb in the music,media or business world.Nimewasikia wanaume wengi wakicomplain bibi amekuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yale mambo yetu yale. Yale ya Bwashee Geoff na dada yangu ambao wapwa na mabinamu wa JF tulifanikiwa kuweka mambo yao sawa. Nazungumzia kale ka get tugedha ka kuwapongeza. Jumapili ni kesho kutwa...
0 Reactions
107 Replies
9K Views
ni usiku mkubwa, ghafla nilishtushwa na ndoto mbaya kichwani mwangu, niligeuka kulia na kushoto kutafuta usingizi lakini kwa bahati mbaya nilishindwa. nilielekea jikoni kupata kikombe cha chai na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hivi utamjuaje mwanamke ambaye umeanzisha nae mahusiano kuwa ni taxi bubu?i mean ni prostitute wa siri? sasa hizi tips za kujua 1.weekend yuko bize. mwanamke akiwa ni taxi bubu,mara zote...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Nilikuwa namtazama celina kombani kwenye tv akizungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa nikawa najiuliza is she married???? I mean wanawake wabunge na mawaziri ambao ni single au dirvoced,ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanajamii za leo jamani, Niko kwenye ndoa ya almost two years, hatuna bado mtoto na my mr. Ktk hiki kipindi chote hadi sasa ndoa kwa kweli imekuwa na ups and downs kama kawaida. Ila cha ajabu...
0 Reactions
188 Replies
18K Views
Katabia kenu huwa sikapendi/hatukapendi ka kulindana huwa mna ubavu gani unakuwa na mke na marafiki zako wanamjua kama shem wao lakini bado ukiwa na ma G/F unawatambulisha marafiki zako "...
0 Reactions
101 Replies
10K Views
----Imekuwa kawaida watu wakiwa katika kipindi cha uchumba wanapenda kwenda outing kwa pamoja, utakuta mara nyingi haswa siku za weekend watu tunatoka out kujiburudisha/ kujiliwaza baada ya...
0 Reactions
160 Replies
14K Views
Nina ex-wife ambaye kwa mda mrefu mawasiliano yetu tunafanya kwa ajili ya mtoto wetu mpendwa ambaye anaishi nae yeye. Zaidi ya hapo akinipijia labda kwa shari tu ila hatuna mawasiliano zaidi ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi katika hii ishu ya mapenzi, mbona akina dada wanatumia zaidi Limbwata ili wapendwe(kuwapumbaza) zaidi na wanaume na sijawahi kusikia Limbwata kwa ajili ya wanaume kuwapumbaza wanawake. Na...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Defriending can bruise your 'digital ego' By Breeanna Hare, CNN October 30, 2009 9:11 a.m. EDT Have you been defriended on Facebook? Experts say our reaction to rejection online is similar...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi huwa tunapata waume na wake zetu ambao kweli ni sehemu ya mbavu zetu na nyama zetu? Nauliza hivi kutokana na mikasa iliyopo kwenye ndoa kama vile kudundana/kupigana; kuvunjika kwa ndoa...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Back
Top Bottom