sika
Member
- Oct 5, 2009
- 21
- 0
Jamaa mmoja ni mwanafunzi wa chuo cha TIA mwaka wa tatu kwa sasa yupo field mkoani morogoro,aliamua kwenda kufanyia field mkoa huo ili awe karibu na du wake ambaye anasoma SUA. Binti naye akadanganya kwa kuwa chuo cha kinafunguliwa mwezi wa 9,alidanganya ili apate nafasi ya kujinafasi na njemba yake.njemba ilikuwa imepanga chumba mitaa ya Kihonda. Basi mshikaji akawa anajimegea kama kawa, inshu ilikuja kutokea ni kwamba du kila siku akawa anataka ikafika kipindi mshikaji hadi akawa anasinzia ofisi kwa sababu ya kazi za ucku. Kwa sasa mshikaji amegombana na du wake kwa kisa hicho.
kuwa na mademu wengi sio kipimo cha ulijari,kama wewe mwanaume wa kweli nyumbani wapate ugali