FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Nimekuwa nikiangalia tofauti kati ya wanaume wa kizungu na wa kibongo the way wanavyo wa treat ,care wake ,wachumba au wapenzi wao ktk kipindi chote cha kulea ujauzito...
Kwanza anafeel kama hiyo Preg iko kwake ...kila sec anamcheck atafanya juu chini uwe na mapumziko ya kutosha ..atapapasa hilo tumbo kama vile sijui liamie kwake kumjali akiumwa kidogo ndo basi utadhani anaumwa yeye kila kona atakopita leo my wife kawa hivi mala vile na hata kazini anaweza shinda kutwa akiongea kuhusu wife ataongelea ujauzito wa mwenzi wake kwa furaha kila mala today 1 month ,2,3, 4,..9 akikaribia kujifungua ndo usiseme na akijifungua sasa mtasimuliwa nyie mpaka loh..!!
hata siwezi kuielezea hali hii ...
ila nyie wakibongo huwa mnaogopa kina mama wajawazito au mnaona ni hali ya kawaida tu??
FL1
Kwanza anafeel kama hiyo Preg iko kwake ...kila sec anamcheck atafanya juu chini uwe na mapumziko ya kutosha ..atapapasa hilo tumbo kama vile sijui liamie kwake kumjali akiumwa kidogo ndo basi utadhani anaumwa yeye kila kona atakopita leo my wife kawa hivi mala vile na hata kazini anaweza shinda kutwa akiongea kuhusu wife ataongelea ujauzito wa mwenzi wake kwa furaha kila mala today 1 month ,2,3, 4,..9 akikaribia kujifungua ndo usiseme na akijifungua sasa mtasimuliwa nyie mpaka loh..!!
hata siwezi kuielezea hali hii ...
ila nyie wakibongo huwa mnaogopa kina mama wajawazito au mnaona ni hali ya kawaida tu??
FL1